mashindano ya dunia(kulala na mabinti warembo)vyumba vipo 100 kila chumba kina binti mmoja chumba cha 101 ni bafu na choo...ukimaliza kimoja unahamia,kingine..majaji wana system inayoonyesha kila kitu kinachoendelea...karibu washiriki dunia nzima ina wawakilishi katika fainali hiyo ilijumuisha nchi100 dunia nzima....kama kawaida m-bongo akawekwa wa mwisho...alianza mjapani..akafanikiwa kumaliza vyumba 12 akazirai?!!!!!mreno....akapitia 7 akazimia...mchina akamaliza vyumba 14..majaji wakabaki wameduwaa.....m nigeria alipitia vyumba 25..akavunja rekodi..ikaja zamu ya m-bongo..akappitia vyumba 40 mara 60 mara 90...computer na system ika broke...(kama inavyokuwa umeme unavyozimika)...system iliporudi..majaji wakamuona m-bongo kamaliza vyumba vyote 100,yupo bafuni anapiga puli
Last edited by a moderator: