Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Aiseeee !Hao wabongo waache upumbafu na waodoe matope kichwani. Huyo Diva angejenga nyumba ya nani? Kazaliwa peke yake kwa mama yake, hana ndugu wala baba, anaishi na mama yake aliyekuwa mgonjwa miaka mitano kasoro kiasi kwamba anahitaji uangalizi wa karibu. Ameishi na mama yake mwenyewe na uko kwao kijijini ni ujombani kuna wajomba kibao wanasubiri ajenge nyumba kisha waishi wao.
Unajua kuna wabongo wana akili za kizamani. Kwahiyo Wahindi wanaoishi NHC hawana hela au ni wajinga, cost benefit analysis haimruhusu Lulu Diva kujenga pale.
Unajenga nyumba ili wakija kuzika waipige picha? Unamjengea mtu unayeishi nae na hakuna siku atakaa kwenye hiyo nyumba. Hao wabongo wanadhani Lulu Diva ni mjinga alikuwa hajui ule ugonjwa hauna kurudi nyuma. Hawajui stress za kuuguza mama ukiwa mtoto wa pekee gani huna hata ndugu wa kushauriana nae wala baba hayupo. Tena kwa miaka minne plus
Ushapiga mkuu?Kumbe Lulu diva ni mtoto wa kitanga ndio maana linajituma kwenye nanilii..
Kwenye nini ?Kumbe Lulu diva ni mtoto wa kitanga ndio maana linajituma kwenye nanilii..
Kwenye nini ?
Anajituma sana huyo dada, nyie mwacheni tu..Ushapiga mkuu?
Mkuu umepiga? Mbona unakwepa swaliAnajituma sana huyo dada, nyie mwacheni tu..
Malizia tu,kwenye kuifinyia kwa ndani.Kumbe Lulu diva ni mtoto wa kitanga ndio maana linajituma kwenye nanilii..
Kwanini alikwenda kumzika huko? facts of our case are not in consonant with the actions after death! UKIJUA UTAMZKA HUKO UJOMBANI, BASI patengeneze angalau kwa nyumba ya tope iliyopigwa lipu, au usimzike huko after all wamemtelekeza, sasa why kumzika huko....Hao wabongo waache upumbafu na waodoe matope kichwani. Huyo Diva angejenga nyumba ya nani? Kazaliwa peke yake kwa mama yake, hana ndugu wala baba, anaishi na mama yake aliyekuwa mgonjwa miaka mitano kasoro kiasi kwamba anahitaji uangalizi wa karibu. Ameishi na mama yake mwenyewe na uko kwao kijijini ni ujombani kuna wajomba kibao wanasubiri ajenge nyumba kisha waishi wao.
Unajua kuna wabongo wana akili za kizamani. Kwahiyo Wahindi wanaoishi NHC hawana hela au ni wajinga, cost benefit analysis haimruhusu Lulu Diva kujenga pale.
Unajenga nyumba ili wakija kuzika waipige picha? Unamjengea mtu unayeishi nae na hakuna siku atakaa kwenye hiyo nyumba. Hao wabongo wanadhani Lulu Diva ni mjinga alikuwa hajui ule ugonjwa hauna kurudi nyuma. Hawajui stress za kuuguza mama ukiwa mtoto wa pekee gani huna hata ndugu wa kushauriana nae wala baba hayupo. Tena kwa miaka minne plus
kwani ukitembea uchi nani atakuzuia? lakini hatufanyi hivyo, why?wabongo hovyo hao,ila mbonga timamu hawezi mlaumu hata herufi 1 LULU.
mimi binafsi ntajenga kwangu ntajiimarisha mimi kisha mengibe ndio yafate,siwezi ziba kwa jirani wakati kwangu mwenyewe kuna vuja.
Nashusha bangalooo lamaana kwangu namiliki magari then Narudi huko panapoitwa nyumbani ndio ntajenga tena kwa kujifkiria saanaaaaaa...
Muhimu mama angu halali njaaa kwisha habari Mengine hayana haraka Mungu akipenda sawa asipopenda pia sawa,mkija nyie pgeni pcha tu mbavu za mbwa zetu wala sijali.
Hakua na mamlaka ya kuamua azikwe wapi. Angekua na mamlaka asingeenda huko ujombani labda. Mwili wa mbondei hauzikwi ugenini kirahisi eti ndio mila zao.Kwanini alikwenda kumzika huko? facts of our case are not in consonant with the actions after death! UKIJUA UTAMZKA HUKO UJOMBANI, BASI patengeneze angalau kwa nyumba ya tope iliyopigwa lipu, au usimzike huko after all wamemtelekeza, sasa why kumzika huko....
Seems your are a matured personHao wabongo waache upumbafu na waodoe matope kichwani. Huyo Diva angejenga nyumba ya nani? Kazaliwa peke yake kwa mama yake, hana ndugu wala baba, anaishi na mama yake aliyekuwa mgonjwa miaka mitano kasoro kiasi kwamba anahitaji uangalizi wa karibu. Ameishi na mama yake mwenyewe na uko kwao kijijini ni ujombani kuna wajomba kibao wanasubiri ajenge nyumba kisha waishi wao.
Unajua kuna wabongo wana akili za kizamani. Kwahiyo Wahindi wanaoishi NHC hawana hela au ni wajinga, cost benefit analysis haimruhusu Lulu Diva kujenga pale.
Unajenga nyumba ili wakija kuzika waipige picha? Unamjengea mtu unayeishi nae na hakuna siku atakaa kwenye hiyo nyumba. Hao wabongo wanadhani Lulu Diva ni mjinga alikuwa hajui ule ugonjwa hauna kurudi nyuma. Hawajui stress za kuuguza mama ukiwa mtoto wa pekee gani huna hata ndugu wa kushauriana nae wala baba hayupo. Tena kwa miaka minne plus