Wabongo wampiga Majungu Lulu Diva

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Nyumba ya mama yake ya kijijini kwao Muheza ndio chanzo cha Madongo , wadai ni duni kuliko bata alizokuwa anakula DSM .

Hii ni baada ya wasanii wengi kuhudhuria mazishi ya mama yake aliyefariki hivi karibu jijini DSM , wanadai mbona nyumba yake ya Dar ina viwango vya kuridhisha kuliko kwao , ambako kunaonekana kulitelekezwa ?

Natoa wito kwa WASANII WA KIBONGO kukumbuka makwao wanapofanikiwa kimaisha , wasisubiri Aibu .

 
Hao wabongo waache upumbafu na waondoe matope kichwani. Huyo Diva angejenga nyumba ya nani? Kazaliwa peke yake kwa mama yake, hana ndugu wala baba, anaishi na mama yake aliyekuwa mgonjwa miaka mitano kasoro kiasi kwamba anahitaji uangalizi wa karibu. Ameishi na mama yake mwenyewe na uko kwao kijijini ni ujombani kuna wajomba kibao wanasubiri ajenge nyumba kisha waishi wao.

Unajua kuna wabongo wana akili za kizamani. Kwahiyo Wahindi wanaoishi NHC hawana hela au ni wajinga, cost benefit analysis haimruhusu Lulu Diva kujenga pale.

Unajenga nyumba ili wakija kuzika waipige picha? Unamjengea mtu unayeishi nae na hakuna siku atakaa kwenye hiyo nyumba. Hao wabongo wanadhani Lulu Diva ni mjinga alikuwa hajui ule ugonjwa hauna kurudi nyuma. Hawajui stress za kuuguza mama ukiwa mtoto wa pekee yani huna hata ndugu wa kushauriana nae wala baba hayupo. Tena kwa miaka minne plus
 
Aiseeee !
 
wabongo hovyo hao,ila mbonga timamu hawezi mlaumu hata herufi 1 LULU.

mimi binafsi ntajenga kwangu ntajiimarisha mimi kisha mengibe ndio yafate,siwezi ziba kwa jirani wakati kwangu mwenyewe kuna vuja.

Nashusha bangalooo lamaana kwangu namiliki magari then Narudi huko panapoitwa nyumbani ndio ntajenga tena kwa kujifkiria saanaaaaaa...

Muhimu mama angu halali njaaa kwisha habari Mengine hayana haraka Mungu akipenda sawa asipopenda pia sawa,mkija nyie pgeni pcha tu mbavu za mbwa zetu wala sijali.
 
Kwanini alikwenda kumzika huko? facts of our case are not in consonant with the actions after death! UKIJUA UTAMZKA HUKO UJOMBANI, BASI patengeneze angalau kwa nyumba ya tope iliyopigwa lipu, au usimzike huko after all wamemtelekeza, sasa why kumzika huko....
 
kwani ukitembea uchi nani atakuzuia? lakini hatufanyi hivyo, why?
 
Hakua na mamlaka ya kuamua azikwe wapi. Angekua na mamlaka asingeenda huko ujombani labda. Mwili wa mbondei hauzikwi ugenini kirahisi eti ndio mila zao.
Lulu kamuuguza mama yake akamfia,amewapelekea maiti yao wakaiangalie na kuzika. Aachwe huyo binti. Huwezi ukajenga nyumba ujombani wakati ukitaraji kufurahisha watakaoenda misibani.
Mbona sijaona anayelalamika kwanini hakumhudumia mama yake?
 
Seems your are a matured person
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…