Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nyumba ya mama yake ya kijijini kwao Muheza ndio chanzo cha Madongo , wadai ni duni kuliko bata alizokuwa anakula DSM .
Hii ni baada ya wasanii wengi kuhudhuria mazishi ya mama yake aliyefariki hivi karibu jijini DSM , wanadai mbona nyumba yake ya Dar ina viwango vya kuridhisha kuliko kwao , ambako kunaonekana kulitelekezwa ?
Natoa wito kwa WASANII WA KIBONGO kukumbuka makwao wanapofanikiwa kimaisha , wasisubiri Aibu .
Hii ni baada ya wasanii wengi kuhudhuria mazishi ya mama yake aliyefariki hivi karibu jijini DSM , wanadai mbona nyumba yake ya Dar ina viwango vya kuridhisha kuliko kwao , ambako kunaonekana kulitelekezwa ?
Natoa wito kwa WASANII WA KIBONGO kukumbuka makwao wanapofanikiwa kimaisha , wasisubiri Aibu .