Wabongo wamshushia matusi Mange

TEAM 666

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2017
Posts
4,399
Reaction score
8,594


[emoji3] [emoji3] [emoji3] dah brave

Baada ya Mange kupotea hewani kama weeks 3 ivi watu wengi hasa kundi kubwa la vijana limeingiwa na wasiwasi juu ya Mange.baada ya kurudi fans wake wameingia wa wazimu nakuanza kumshushia matusi na kumshtumu amepunga Speed
 
Wabongo wangapi Acha ujinga wako
 
Mleta mada utakuwa na mtindio wa ubongo. Hii mitandao imejianisha, haya siyo ya kuleta JF, ungeungana na hao wanaomjibu na kumshushia mitusi huko huko. Kama hamwelewi aina ya mada kwa mahali husika kaeni kimya jamaniiii, mnaboa sana sana.
 
mwalimu wako msingi alikuwa na kazi ya ziada hujui wingi na umoja mpk Leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…