Wabongo wamshushia matusi Mange

Wabongo wamshushia matusi Mange

TEAM 666

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2017
Posts
4,399
Reaction score
8,594
f7c1fde009118a6edf4b6787e8286b0a.jpg


[emoji3] [emoji3] [emoji3] dah brave

Baada ya Mange kupotea hewani kama weeks 3 ivi watu wengi hasa kundi kubwa la vijana limeingiwa na wasiwasi juu ya Mange.baada ya kurudi fans wake wameingia wa wazimu nakuanza kumshushia matusi na kumshtumu amepunga Speed
 
Mleta mada utakuwa na mtindio wa ubongo. Hii mitandao imejianisha, haya siyo ya kuleta JF, ungeungana na hao wanaomjibu na kumshushia mitusi huko huko. Kama hamwelewi aina ya mada kwa mahali husika kaeni kimya jamaniiii, mnaboa sana sana.
 
mwalimu wako msingi alikuwa na kazi ya ziada hujui wingi na umoja mpk Leo
 
Back
Top Bottom