Ibrahim300
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 390
- 68
Kwa mtazamo wangu na kwa umakini wangu wa kufuatilia habari zote za udaku za wasanii nimejifundisha ya kuwa watanzania wengi wanapenda sana kuona wasanii wa kike wakiachilia maungo yao kwa mitandao ya kijamii.
Habari ambazo zinahusisha wasanii wakionyesha maungo yao hupokelewa vyema huku wengine hata wakiomba wasanii wengine wajiachilie kwa mitandao ili wapate umaarufu zaidi...
Lakini habari nyingine zinazohusu wasanii wakifanya mambo tofauti utasikia kejeli, matusi, kushtumu, kulaani na mambo mengine kwa wasanii hao.
Mi sielewi tatizo ndilo lipi...ama wasanii ndio waendelee kupiga picha za uchi ama waendelee kuitumikia jamii ili wapate umaarufu?!?
Habari ambazo zinahusisha wasanii wakionyesha maungo yao hupokelewa vyema huku wengine hata wakiomba wasanii wengine wajiachilie kwa mitandao ili wapate umaarufu zaidi...
Lakini habari nyingine zinazohusu wasanii wakifanya mambo tofauti utasikia kejeli, matusi, kushtumu, kulaani na mambo mengine kwa wasanii hao.
Mi sielewi tatizo ndilo lipi...ama wasanii ndio waendelee kupiga picha za uchi ama waendelee kuitumikia jamii ili wapate umaarufu?!?