Wabongo wanaofanya biashara online wengi wao wanafanya kosa hili

Wabongo wanaofanya biashara online wengi wao wanafanya kosa hili

Shuku_

Senior Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
174
Reaction score
216
Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽

1 kwa 1 kwenye mada yangu kama vile kichwa kinavyosema.

Najua una HAMU ya kujua wabongo wengi hufanya kosa gani ktk biashara huko ONLINE.

Binafsi, nmepita katika mitandao mingi ikiwemo x (Instagram) na Facebook. Ktk mitandao hiyo
wabongo wengo wamekuwa wakifanya biashara za mtandaoni ili kukuza soko la biashara yake kwa kufikia wateja wengi zaidi.

Ila wengi ktk juhudi hizo wamekuwa na tabia ya kuficha BEI ya bidhaa zao na kuwaelekeza hivi wateja…
• Nicheck inbox kwa maelezo zaidi
• Nicheck inbox
• Piga 0712 * *
• Mteja sirious nchek inbox
• WhatsApp me 0712 * * au Link
____________________________

Wafanya biashara hao wamekuwa wakifanya makosa hayo ya kuto kuweka BEI utadhani wanauza SUMU au MADAWA.

Inawezekana bango lake likafikiwa na watu wengi tu ila tatizo hilo moja linafanya wateja watakao piga simu au kufuata maelezo ya mfanyabiashara ni wachache kuliko walio lipita tangazo ambalo __________________________

Najiuliza… hivi hawa akina ALIBABA na KIKUU, Ingekuwaje kama biashara zao nao wangekuwa wanaficha BEI pamoja na MAELEZO MENGINE YA MSINGI hizo biashara zao zingekuwa wapi leo hii!!.
___________________________

Hizi picha huku chini ni baadhi ya MATANGAZO niliyopata kukutana nayo.

1736311397456.jpg
 

Attachments

  • 1736311437573.jpg
    1736311437573.jpg
    676.9 KB · Views: 7
  • 1736311365229.jpg
    1736311365229.jpg
    306.3 KB · Views: 8
  • 1736311468868.jpg
    1736311468868.jpg
    536.6 KB · Views: 8
Usichokielewa ni kwamba kuna wafanya biashara na mawinga, winga hauwezi kukuwekea bei kwenye mtandao anasubiri ufike muonane akutathmini anakupigaje, mwenye biashara yake lazima tangazo lake aweke bei ili wale watakaomfuata inbox watakuwa wapo tayari kununua bidhaa yake(wenye kuafford)
 
Ki tz tz online business wahusika hawana akili timamu wala customer care. Mimi binafsi ni mpenzi sana wa masuala ya misosi na huwa napenda nifanyiwe delivery sehemu niliyopo lakini ukipigia simu wengi wa wanaotoa huduma za chakula lugha zao huwa si rafiki sana, mwisho wa siku unaamua tu utumie Piki kuepukana na kukarahishwa na watu wajinga.
Nakumbuka kuna siku nimeagiza kitimoto Gentlemen waniletee Kijitonyama, imepita kama saa nzima nikampigia jamaa wa gentlemen kuulizia order yangu vipi ananiambia eti hatuwezi kufanya delivery kwa sababu wateja wa mbali wanasumbua, nilikuwa dissapointed sana.
 
Back
Top Bottom