Wabunge 168 wakubali adhabu ya kifo kwa wezi - majimboni kwenu mmewatuma kazi wabunge hao?

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Wanabodi,
Salaam!

Leo nimeona clip moja ya mbunge kijana akitoa hoja bungeni Dodoma kuhusu umuhimu wa uwepo wa adhabu ya kunyongwa mpk kufa kwa watu watakaopatikana na hatia ya wizi.

Mchango wa Mbunge huyu siukatai wala kuukubali - nilichojiuliza kwa haraka ni iwapo miongoni mwetu watanzania kuna wanajimbo waliomtuma Mbunge yeyote mawazo haya ya kunyongwa wezi. Je, uwepo wa sheria hii utaondoa dhambi duniani?

Ngaika Ndenda
 
Hapo watanyonga vidagaa kama DT, TT, TD, na procurement officers wasio na mizizi kwenye mfumo. Wameshindwa mahakama ya mafisadi kutekeleza adhabu wataweza?
 
Hao wabunge tu, wengi wao waliingia bungeni kwa wizi wa kura. Adhabu ianzie kwao basi
 
Ndio tumewatuma hayo
 
Hapo watanyonga vidagaa kama DT, TT, TD, na procurement officers wasio na mizizi kwenye mfumo. Wameshindwa mahakama ya mafisadi kutekeleza adhabu wataweza?
Ila wizi halmashauri unakera sanaaa....lazima wapate dawa yake....ikibidi rufikie huko
 
Naendelea hayo ni maigizo ya CCM wamepangwa hao wabunge ili kuwalagai watanzania ionekane wanafanyakazi sana lakini hizo ni sarakasi za uchaguzi
 
"Ngaika ndenda"

Unaogopa kunyongwa?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ccm kwa comedy futuhi wanasubiri,yani wapitishe mkataba wa bandari bila kuusoma,leo wanakuja na blahblah tu kama wametoka kunywa gongo..hao wabunge 168 wapelekwe mirembe wapimwe afya ya akili...ccm hakuna ambae sio gisadi yani ufisadi kwao ni sawa ma kunywa maji
 
Endelea tu na wizi, kiama kinakuja!
 
Kwani nchi kama China pamoja na kuwa na adhabu ya namna hii ufisadi umeisha?

Taifa lifikirie mara mbili
 
Tungeanza kumnyonga huyu kiranja wa wezi👇
Your browser is not able to display this video.
 
Mgonjwa kapiga chafya. safi
 
Dawa ya Wezi wa Mabilioni ya Umma iwe hii👇
 
Kunyongwa ndiyo dawa ya pekee na kamili kwa gonjwa la rushwa na ufisadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…