Wabunge 19 viti maalum CHADEMA wanasubiri kulipwa 400m pensheni?

Wabunge 19 viti maalum CHADEMA wanasubiri kulipwa 400m pensheni?

1. Mjini uje na akili. Pesa IPO ni ww kuchakata akili. Kama masihara wale wabunge 19 wa CHADEMA ifikapo 2025 wakati Bunge linavunjwa nao wanavuna TZS 400m bila jasho. Huku daktari yupo Halmashauri ya Buhigwe akilipwa laki 7.

2. Kwann hawa 19 hawamchangii Makamu Lissu anunue V8 LC300 series (0 kilometre)?
Kitenge anazisubiria hizo hizo atoe talaka. Aoe lishangazi lingine lenye pesa zaid
 
1. Mjini uje na akili. Pesa IPO ni ww kuchakata akili. Kama masihara wale wabunge 19 wa CHADEMA ifikapo 2025 wakati Bunge linavunjwa nao wanavuna TZS 400m bila jasho. Huku daktari yupo Halmashauri ya Buhigwe akilipwa laki 7.

2. Kwann hawa 19 hawamchangii Makamu Lissu anunue V8 LC300 series (0 kilometre)?
Iko siku watazilipa tu!
 
Ila wanasiasa wanajua kijipakulia minyama daah.....

Miaka mitano mil 400 bila mbambamba, watumishi miaka 30+ ya utumishi mil 80 kidogo kidogo. 🥹
 
1. Mjini uje na akili. Pesa IPO ni ww kuchakata akili. Kama masihara wale wabunge 19 wa CHADEMA ifikapo 2025 wakati Bunge linavunjwa nao wanavuna TZS 400m bila jasho. Huku daktari yupo Halmashauri ya Buhigwe akilipwa laki 7.

2. Kwann hawa 19 hawamchangii Makamu Lissu anunue V8 LC300 series (0 kilometre)?
Ili na yeye asanuke kuwa mjini akili🙄
 
1. Mjini uje na akili. Pesa IPO ni ww kuchakata akili. Kama masihara wale wabunge 19 wa CHADEMA ifikapo 2025 wakati Bunge linavunjwa nao wanavuna TZS 400m bila jasho. Huku daktari yupo Halmashauri ya Buhigwe akilipwa laki 7.

2. Kwann hawa 19 hawamchangii Makamu Lissu anunue V8 LC300 series (0 kilometre)?
Sio wabunge wa CHADEMA hao lakini
 
1. Mjini uje na akili. Pesa IPO ni ww kuchakata akili. Kama masihara wale wabunge 19 wa CHADEMA ifikapo 2025 wakati Bunge linavunjwa nao wanavuna TZS 400m bila jasho. Huku daktari yupo Halmashauri ya Buhigwe akilipwa laki 7.

2. Kwann hawa 19 hawamchangii Makamu Lissu anunue V8 LC300 series (0 kilometre)?
Hivi ni 250M au 400M???
 
1. Mjini uje na akili. Pesa IPO ni ww kuchakata akili. Kama masihara wale wabunge 19 wa CHADEMA ifikapo 2025 wakati Bunge linavunjwa nao wanavuna TZS 400m bila jasho. Huku daktari yupo Halmashauri ya Buhigwe akilipwa laki 7.

2. Kwann hawa 19 hawamchangii Makamu Lissu anunue V8 LC300 series (0 kilometre)?
Each other au
 
1. Mjini uje na akili. Pesa IPO ni ww kuchakata akili. Kama masihara wale wabunge 19 wa CHADEMA ifikapo 2025 wakati Bunge linavunjwa nao wanavuna TZS 400m bila jasho. Huku daktari yupo Halmashauri ya Buhigwe akilipwa laki 7.

2. Kwann hawa 19 hawamchangii Makamu Lissu anunue V8 LC300 series (0 kilometre)?
MUNGU ANAKUPA UNACHOSTAHILI SIO UNACHOTAKA UTATESEKA PAMBANA NDUGU TUNZA FAMILIA
 
Back
Top Bottom