Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Wakuu wa wilaya watarajiwa, tukutane later
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Mjini uje na akili. Pesa IPO ni ww kuchakata akili. Kama masihara wale wabunge 19 wa CHADEMA ifikapo 2025 wakati Bunge linavunjwa nao wanavuna TZS 400m bila jasho. Huku daktari yupo Halmashauri ya Buhigwe akilipwa laki 7.
2. Kwann hawa 19 hawamchangii Makamu Lissu anunue V8 LC300 series (0 kilometre)?
Mikopo ya nn wakati waliokota dodo chini ya Mnazi?Hizo 400 ni kama hana mkopo wowote
Kuna wengine watapata 5m tu
Kichwani uko sawa?1. Mjini uje na akili. Pesa IPO ni ww kuchakata akili. Kama masihara wale wabunge 19 wa CHADEMA ifikapo 2025 wakati Bunge linavunjwa nao wanavuna TZS 400m bila jasho. Huku daktari yupo Halmashauri ya Buhigwe akilipwa laki 7.
2. Kwann hawa 19 hawamchangii Makamu Lissu anunue V8 LC300 series (0 kilometre)?
Ubunifu gani wakati wanapiga hesabu ya kuzirudisha kwenye kampeni mwakaniWakiwa wabunifu 400m TZS mtaji wa kutosha