Kauli yako hii nusu initoe machozi, sincerely umeuchoma sana moyo wanguHii nchi bhana! Yaani watu kama Babu Tale, Alexender Mnyeti, Joseph Kashek 'msukuma', Deo Sanga 'Jah People', Livingstone Lusinde 'Kibajaj', Jesca Msambatavangu, na wengineo wengi!
Ndiyo wanao amua hatma ya maisha yetu eti!! So sad.
Ni ukweli mchungu! Wasomi wengi katika nchi masikini kama Tanzania, ni waoga! Hatujiamini! Kiasi cha kuruhusu wale wenzangu na mimi, kwa ujasiri na kujiamini kwao! Kufanikiwa kujipenyeza katika nafasi muhimu za kisiasa na kutuamulia hatma ya maidha yetu.Kauli yako hii nusu initoe machozi, sincerely umeuchoma sana moyo wangu
Wameishukuru kwa kutoikataa moja kwa moja. Wangeunga mkono wangethibitisha kuwa hamna upinzani bungeni. Kwa ku abstain ni kujifanya kuwa bado ni watu wa msimamo.Kweli tupu wanatakiwa kuishukuru CCM kwa maovu yao
Hivi bado umoja party ipo. Ilikuja kwa kasi ila imeondoka kwa kasi zaidi.
Mmtegwa ili muulize swali hili huku nje..Upigaji wa kura kwa bajeti ya 2022/2023 unaendelea Bungeni ambapo wabunge wote wa CCM wamepiga kura ya ndio huku wa CHADEMA na ACT wakisema hawana maamuzi
Najiuliza ni kwanini hawaoneshi shukrani kwa Serikali ya CCM iliyowaweka na kuwalinda Bungeni?
Wamewekwa kwa danganya toto.Upigaji wa kura kwa bajeti ya 2022/2023 unaendelea Bungeni ambapo wabunge wote wa CCM wamepiga kura ya ndio huku wa CHADEMA na ACT wakisema hawana maamuzi
Najiuliza ni kwanini hawaoneshi shukrani kwa Serikali ya CCM iliyowaweka na kuwalinda Bungeni?
Kwa akili hizi za nzi wa kijani ni mwiko nchi hii kuendeleaBajeti ni nzuri na inapita bila shida yoyote.
Halima mdee ni mkombozi na shujaa ambae JMT haitakuja kumsahau
HahaaNaam, na 2025 itabidi tumpe fomu agombee urais kupitia Umoja Party, maana ndiye pekee anayeweza kuendeleza legacy ya JPM, CCM ya sasa ni ya mafisadi...
Yaani kama unadhani hili ndo jibu la swali nililouliza, basi ukapimwe akiliChama si ndio kinaimiliki Serikali?
Kwahiyo idadi ya waliopiga kura imechakachuliwa, tumeambiwa ni wabinge wanne hivi hawakuwepo bungeni na Spika hakupiga kura, mbona hesabu ya hao 19 haipo? Uongo wa kuchakachua matokeo unalisaidia nini Bunge na taifa?Upigaji wa kura kwa bajeti ya 2022/2023 unaendelea Bungeni ambapo wabunge wote wa CCM wamepiga kura ya ndio huku wa CHADEMA na ACT wakisema hawana maamuzi
Najiuliza ni kwanini hawaoneshi shukrani kwa Serikali ya CCM iliyowaweka na kuwalinda Bungeni?
Ndugai ni muogaHivi bado umoja party ipo. Ilikuja kwa kasi ila imeondoka kwa kasi zaidi.
Unakumbuka alishapigwa ban kushiriki vikao bungeni kwa mwakazima? Unakumbuka alishahukumowa tukamchangia akatoka?Bajeti ni nzuri na inapita bila shida yoyote.
Halima mdee ni mkombozi na shujaa ambae JMT haitakuja kumsahau
Mhuu we mtu shida yako inaanzia kwa wazazi, wadau wakusamehe bureBajeti ni nzuri na inapita bila shida yoyote.
Halima mdee ni mkombozi na shujaa ambae JMT haitakuja kumsahau
Inasikitisha sana,magu katuachia msala mkubwa sanaHii nchi bhana! Yaani watu kama Babu Tale, Alexender Mnyeti, Joseph Kasheku 'msukuma', Deo Sanga 'Jah People', Livingstone Lusinde 'Kibajaj', Jesca Msambatavangu, na wengineo wengi!
Ndiyo wanao amua hatma ya maisha yetu eti!! So sad.