Wabunge 27 hawajawahi kuuliza swali miaka mitatu,yumo Prof Sarungi wa Rorya

Wabunge 27 hawajawahi kuuliza swali miaka mitatu,yumo Prof Sarungi wa Rorya

Hii thread haina kichwa wala miguu..hata takwimu zenyewe mashaka matupu. Endeleeni.
 
Kwani kama mambo yanaenda vizuri kwako, kwa anajimbo wako na chama chako kuna haja ya kuuliza?

  1. Mkuu tutajie jimbo moja tu ambalo mambo yanakwenda vizuri hapa Tanzania.
  2. Ili liwe mfano kwa majimbo mengine
.

viti maalum...![/QUOTE]

Tehee mbavu zangu jamani, this is why huwa naimiss JF wakati SERVER ikiwa CHINI.

Jamani hata kama viti maalum mambo ni shwari si wachangie general issues????
 
Hapo wakulaumiwa ni mwananchi anaye chagua mtu goigoi aende kumwakilisha alafu akifika bungeni anaweka mdomo plasta....mwananchi aliye mleta huyu mbunge bungeni ndo wa kwanza kulaumiwa ndiye aliye mchagua kwa kumpigia kura halali.

Mkuu, kwani wakati wa kugombea ubunge kura aliombaje? Je wakati anaomba kura hakuongea (aliomba kibubu bubu kama alivyogeuka bubu akiwa ndani ya mjengo?!)
 
Mkuu Mwazange.Lakini kumbuka Mzee Mwapachu anasema wazi kuwa hatumpi kura kwa sababu tunampenda...ni yale anayotufanyia kule Kisosora..sijaona kitu kule labda ni ile mikeka anayogawa bure Misikitini!!Lakini nakuthibitishia safari hii amesema anapumzika,hataki tena Ubunge....Naona Mwamvita na Mzee Juma Mwapachu wanajipanga....kazi kweli kweli!!

Mkuu Mwawado! Ni Mwamvita yupi??? Huyu wa Makamba aliyepo Voda? LOL
 
Pengine wameshajua hilo la kuchangia matokeo yake ni yepi ,sasa inakuwa hana umuhimu wa kuchangia kwani amekwishapata nyepesinyepesi kuwa linapita au halipiti ,hivyo yeye ni kuwangalia na kuwashangaa wale wanaovimba mishipa ya shingo jinsi wanavyopata tabu na kushindana na matokeo ya kupangwa.
 
Tukifuatilia kwa undani tunaweza kugundua kwamba kuna Wabunge wengi tu katika hiyo miaka mitatu wameuliza swali moja tu na si ajabu halihusiani na jimbo lake la uchaguzi.
 
Labda wakirudi kwa wananchi waulizwe waliuliza na kuhoji mara ngapi katika bunge ,ila naona watadanganya na kudai hata hoja za mafisadi walizianzisha wao.

Ila wale wa CCM ambao walipitishwa na kikao cha juu sijui kama watapita ikiwa ulaji upya utafanya kazi huko vijijini.
 
Back
Top Bottom