Wabunge 30 wa Tanzania kwenda Dubai safari ya kimya kimya si kawaida

Wabunge 30 wa Tanzania kwenda Dubai safari ya kimya kimya si kawaida

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Joseph Kasheku Musukuma akiongea bungeni amesema walikwenda Dubai kuona mafanikio ya bandari za huko.

ZIARA YA KAMATI YA MH. PROF. MBARAWA YA WABUNGE 30 DUBAI


Prof. Makame Mnyaa Mbarawa alikusanya wabunge wa kamati ya Miundo Mbinu na kuwapeleka kukutana na Watawala wa Dubai

Jambo la kushangaza ni kuwa kamati ya Bunge wakitembelea miradi ndani ya Tanzania huwa tunaona habari hizo katika media zetu mfano kamati ya Bunge imetembelea mradi wa SGR Reli au Kamati ya Wabunge ikiongoza na mwenyekiti wa kamati maalum wametembelea mradi wa ujenzi wa meli kubwa ziwa Victoria n.k

Lakini ziara hii ya kutembelea Dubai ilikuwa ya
kimya kimya na usiri mwingi inaacha maswali mengi sana miongoni mwa watanzania wengi wanaofuatilia sakala hili la bandari kuuziwa DP World ya Dubai.

Haraka ya Bunge kufanya overtime siku ya jumamosi tarehe 10 Juni 2023 kupitia mkataba huu wa mradi wa bandari za Tanzania huku tayari ma 'influencers' 30 waliozuru Dubai wakiwa wakali wanataka haraka kuchagiza kukamilisha utekelezaji wa miradi kama mbunge Joseph Kasheku Musukuma alivyosema bungeni siku chache kuhusu 'ucheleweshaji' wa miradi.

TOKA MAKTABA :
Kamati ya Bunge LAAC ya wabunge kadhaa ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yatembelea Miradi ya Maendeleo Mtwara

1686295023213.png

29 Mar2023
Kamati ya Kudumu ya Bunge Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imekataa taarifa ya mkurugenzi wa halmashauri ya manipsaa ya Mtwara Mikindani kwa kushindwa kutekeleza agizo la kupeleka milioni 600.2 (40%) za fedha za miradi ya maendeleo badala yake ametoa 400.7 (16%) tu kati ya makusanyo ya shilling billion 2.6 kwa mwaka wa fedha 2020-2021.
 
Nani ni mmiliki wa DP World ni serikali ya Dubai kupitia shirika la umma au ni wana / watoto wa familia ya kifalme ya Dubai ?

Mwanasheria Nyanje wa Nyanje achambua wamiliki wa DP World na jinsi familia za kifalme Mashariki ya Kati wanavyomiliki makampuni makubwa nyuma ya pazia.



MOHAMMED BIN RASHID VISITS DP WORLD FLOW PAVILION AT EXPO 2020

Date: 08/11/2021
Vice-President and Prime Minister of the UAE and Ruler of Dubai His Highness Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum visited the DP World pavilion at EXPO 2020 Dubai.
05-07112021-saif.jpg

Vice-President and Prime Minister of the UAE and Ruler of Dubai His Highness Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum visited the DP World pavilion at EXPO 2020 Dubai.

His Highness toured various sections of the pavilion, one of the event’s highlights, presented under the slogan ‘Making Trade Flow’.

HH Sheikh Mohammed was briefed on the main features of the DP World pavilion, located in the Al Forsan zone.

The pavilion demonstrates the connectivity and movement of cargo across the world and highlights the vital role of smarter trade in the global economy.

During his visit, HH Sheikh Mohammed said: “The UAE, guided by the vision of its founding fathers, has been steadily enhancing its role in the global economy, contributing both to accelerating its growth and shaping its future.

As a vital commercial hub, the UAE has developed significant capabilities to facilitate international trade, expand connectivity and create robust logistics networks, in partnership with nations and institutions across the world. By deploying advanced technologies, we continue to explore new avenues for contributing to the growth and development of global trade and commerce.”

HH Sheikh Mohammed was accompanied on the tour by Sultan Ahmed bin Sulayem, Group Chairman and CEO of DP World, and Abdulla bin Damithan, CEO and Managing Director, DP World & Jafza, and a number of senior government and DP World officials.

His Highness was also briefed on DP World’s range of products and services, which covers every link of the integrated supply chain – from maritime and inland terminals to marine services and industrial parks as well as technology-driven customer solutions. DP World has an interconnected global network of 190 business units in 68 countries.

DP World’s officials briefed HH Sheikh Mohammed on another innovative technology, BoxBay, the new and intelligent High Bay Storage (HBS) system as well the many other initiatives it has launched as part of its US$4 billion investment in digital technology over four years.

His Highness was also briefed on the high-speed Hyperloop system and its logistics counterpart Cargospeed, created through a partnership between DP World and Virgin Hyperloop.

Visitors to the five-floor DP World Flow pavilion, which has four main galleries, have an opportunity to explore the movement of commerce around the world that drives the global economy, giving a unique insight into the innovative technology of supply chains.

The pavilion’s FlowLive event programme brings together leaders of governments and commerce to shape the future of world trade, while its education programme seeks to inspire young people to join the logistics industry.

DP World, the Premier Global Trade Partner of EXPO 2020 Dubai, has been playing a crucial role in facilitating the importation of Expo-related cargo and providing event organisers with cutting-edge logistical support. The organisation’s pavilion was opened on 1 October, when the organisation also unveiled its new brand identity
 
Fahamu Kivuli kikubwa cha DP World na msuli wake wa kipesa (Financial muscle power) kufanikisha madili


Serikali ya Tanzania inatarajia kuingia makubaliano na kampuni ya Dubai ya DP World ya kuweka uwekezaji binafsi kwenye bandari ya Dar es Salaam ili kuongeza ufanisi na kiwango cha mizigo inayopita kwenye bandari hiyo. DP World ni moja ya kampuni kubwa duniani zenye mafanikio katika uendeshaji wa bandari katika nchi mbalimbali. Hata hivyo baadhi ya watanzania wametilia shaka mpango huo wakisema umetekelezwa kwa njia ya mkato
 
TOKA MAKTABA Mwaliko

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
BUNGE LA TANZANIA
Simu: +255 026 23222761-5
Fax No. +255 026 2322624
E-mail: cna@bunge.go.tz
TAARIFA KWA UMMA
Ofisi ya Bunge,
S.L.P. 941,
DODOMA.

Kamati ya Pamoja (Joint Committee) ya Bunge ya Miundombinu na ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) inawaalika wadau kutoa maoni kuhusu Azimio la Bunge kuhusu Mapendekezo ya Kuridhia Makubaliano kati ya Serikali
ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii kwa ajili ya Uendelezaji na Uboreshaji wa Utendaji Kazi wa Bandari Tanzania la Mwaka 2023(Intergovernmental Agreement – IGA , between the United Republic of Tanzania and the Emirate of Dubai concerning Economic and Social Partnership for the Development and Improving Performance of Ports in Tanzania).

Mkutano wa kupokea na kusikiliza maoni ya wadau (Public Hearing) utafanyika siku ya Jumanne tarehe 06, Juni saa 7:30 mchana katika Ukumbi wa Msekwa ‘D’, Ofisi ya Bunge, Jijini Dodoma.

Kamati inawaalika watu wote wenye maoni kuhusu Azimio hilo kufika na kuwasilisha maoni yao kabla haujapelekwa katika hatua nyingine.

Vilevile Kamati itapokea maoni kwa njia ya Posta au Barua pepe kwa anuani ifuatayo:-

Katibu wa Bunge, Ofisi ya Bunge,
10 Barabara ya Morogoro
S.L.P. 941,
40490 Tambukareli
DODOMA.
Baruapepe: cna@bunge.go.tz na kamati@bunge.go.tz

Azimio hilo linaweza pia kupakuliwa katika tovuti ya Bunge,
www.bunge.go.tz. Aidha, unashauriwa kuwasilisha jina lako kupitia barua pepe tajwa endapo utapenda kuwasilisha maoni yako kwa kuzungumza kwa ajili ya
hatua za kiutawala.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa,
Ofisi ya Bunge,
S.L.P 941,
DODOMA.
 
Mwenye majina yao tafadhali tuwekee tuwabrand kabisa kuwa ni maadui wa Tanganyika.

23 March 2023
Kibaha, Pwani
Tanzania


Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Miundo mbinu ya Bunge walipofanya ziara ya kikazi mkoa wa Kibaha Pwani chini ya mwenyekiti mheshimiwa mbunge Selemani Kakoso, Abubakar Assenga ...
1686301975523.png


1686300752699.png

1686300831545.png

1686300935895.png

1686301141931.png

Picha zote hapo juu wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundo-Mbinu mwezi March 2023 katika ziara ya kikazi kukagua miradi


Picha za ziada toka maktaba :

TOKA MAKTABA: ZIARA YA WABUNGE WA KAMATI YA BUNGE YA KUDUMU YA MIUNDOMBINU BANDARI YA MTWARA!

PIC 5
 
Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Joseph Kasheku Musukuma akiongea bungeni amesema walikwenda Dubai kuona mafanikio ya bandari za huko.

ZIARA YA KAMATI YA MH. PROF. MBARAWA YA WABUNGE 30 DUBAI




Jambo la kushangaza ni kuwa kamati ya Bunge wakitembelea miradi ndani ya Tanzania huwa tunaona habari hizo katika media zetu mfano kamati ya Bunge imetembelea mradi wa SGR Reli au Kamati ya Wabunge ikiongoza na mwenyekiti wa kamati maalum wametembelea mradi wa ujenzi wa meli kubwa ziwa Victoria n.k

Lakini ziara hii ya kutembelea Dubai ilikuwa ya
kimya kimya na usiri mwingi inaacha maswali mengi sana miongoni mwa watanzania wengi wanaofuatilia sakala hili la bandari kuuziwa DP World ya Dubai.

Haraka ya Bunge kufanya overtime siku ya jumamosi tarehe 10 Juni 2023 kupitia mkataba huu wa mradi wa bandari za Tanzania huku tayari ma 'influencers' 30 waliozuru Dubai wakiwa wakali wanataka haraka kuchagiza kukamilisha utekelezaji wa miradi kama mbunge Joseph Kasheku Musukuma alivyosema bungeni siku chache kuhusu 'ucheleweshaji' wa miradi.

TOKA MAKTABA :
Kamati ya Bunge LAAC ya wabunge kadhaa ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yatembelea Miradi ya Maendeleo Mtwara

View attachment 2650841
29 Mar2023
Kamati ya Kudumu ya Bunge Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imekataa taarifa ya mkurugenzi wa halmashauri ya manipsaa ya Mtwara Mikindani kwa kushindwa kutekeleza agizo la kupeleka milioni 600.2 (40%) za fedha za miradi ya maendeleo badala yake ametoa 400.7 (16%) tu kati ya makusanyo ya shilling billion 2.6 kwa mwaka wa fedha 2020-2021.

Ndio special number ikatoka kwenye gari ya Msukuma
 
Ukishakuwa unaongozwa na chifu, tegemea mali za watu kuuzwa kama ilivyokuwa kwa kina Mangungo na machifu wengine waliouza watu wao kwa vipande vya hariri...
 
Back
Top Bottom