Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Ya Zanzibar? Na Raisi ni Samia , Makao Makuu ,Mbweni ,Unguja au Chake Chake PembaMsimamo wangu ni serikali moja tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya Zanzibar? Na Raisi ni Samia , Makao Makuu ,Mbweni ,Unguja au Chake Chake PembaMsimamo wangu ni serikali moja tu.
Serikali iwe moja tu. Zanzibar iwe mkoa.
Msimamo wangu ni serikali moja tu.
Mawazo yako ni mazuri. Kuhusu EA Federation ni vigumu kwa vile kila nchi kwa sasa inapigania Utaifa wake. Wapo viongozi ambao ni wapenda madaraka sana na hivyo ni vigumu kuachia nafasi zao na kuyakasimu kwenye hiyo Federation. Kwa sasa tuna Community ambayo inasuasua. Kuingia kwenye Federation ni ngumu zaidi.Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa, "kama ingekuwa inawezekana kuwa na Serikali moja, hilo ningeliunga mkono, lakini Wazanzibari hawatakubali".
Mwalimu Nyerere aliona wazi hoja ya kuwa na Serikali 3 au 1, na alijua wazi kuwa Serikali mbili ni nadharia danganyifu, lakini alikuwa na hofu katika machaguo mawili yaliyokuwa halisia:
Serikali 3, Mwalimu alisema ni hofu yake kuwa Muungano unaweza kuvunjika, na yeye hakuwa tayari hilo litokee. Akasema kuwa unapokuwa na Serikali 2, moja ya nchi kubwa kama Tanganyika, na nyingine ya nchi ndogo, pungufu ya wilaya ya Sengerema, ni vigumu muungano wa namna hiyo kuendelea.
Kwenye serikali moja, ambayo ingeifanya Zanzibar, hata kwa upendeleo, kuwa na mikoa labda 2 au 3, Wazanzibari wasingekubali, na huenda wangeona afadhali kujitoa kwenye muungano, na Mwalimu hakutaka kabisa muungano ufe, hata kama wananchi wote wasingeutaka.
Kwa sasa Mwalimu hayupo, mazingira yamebadilika. Tungeweza kuamua kuwa na serikali 1, wazanzibari wasipokubali, tukazanie kuwa na Federation ya East Africa, na Zanzibar iingie humo kama nchi.
Hivi najua Ulimwengu bado yupo wengine akina nani wako hai? wakati huo nan alikuwa Waziri Mkuu? Warioba,Malecela au Salim?
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa, "kama ingekuwa inawezekana kuwa na Serikali moja, hilo ningeliunga mkono, lakini Wazanzibari hawatakubali".
Mwalimu Nyerere aliona wazi hoja ya kuwa na Serikali 3 au 1, na alijua wazi kuwa Serikali mbili ni nadharia danganyifu, lakini alikuwa na hofu katika machaguo mawili yaliyokuwa halisia:
Serikali 3, Mwalimu alisema ni hofu yake kuwa Muungano unaweza kuvunjika, na yeye hakuwa tayari hilo litokee. Akasema kuwa unapokuwa na Serikali 2, moja ya nchi kubwa kama Tanganyika, na nyingine ya nchi ndogo, pungufu ya wilaya ya Sengerema, ni vigumu muungano wa namna hiyo kuendelea.
Kwenye serikali moja, ambayo ingeifanya Zanzibar, hata kwa upendeleo, kuwa na mikoa labda 2 au 3, Wazanzibari wasingekubali, na huenda wangeona afadhali kujitoa kwenye muungano, na Mwalimu hakutaka kabisa muungano ufe, hata kama wananchi wote wasingeutaka.
Kwa sasa Mwalimu hayupo, mazingira yamebadilika. Tungeweza kuamua kuwa na serikali 1, wazanzibari wasipokubali, tukazanie kuwa na Federation ya East Africa, na Zanzibar iingie humo kama nchi.
Nyerere hakutaka muungano ufe. Kuna hotuba kali sana aliyoitoa dhidi ya ubaguzi kwa wanaotaka kujitenga. Aliongea kwa jazba sana akitamani “laana” ya ubaguzi iwapate nao wasambaratike; wasibaki wamoja! Clip iko Youtube. Nimeona TBC wakipenda kuirusha siku hizi.Huenda mwalimu hakuikataa hii hoja ife ni woga wa maccm tu.
Kwa kuona mapungufu ya serikali 2 na historia ya uasi wa mwaka 1984 alishapna hatari mbele lakini asingeweza kukubali kirahisi
Hivyo basi aliwashauri wabunge wale wajitoe ccm ili waunde chama ambocho kingeshinda uchavuzi kwa sera ya serikari 3 na kuunda serikali ya Tanganyika ndani ya muungano
Nyerere alikuwa mjanja sana hakuikataa hoja ife bali alitaka ije kwa njia Ambayo asionekane ni dhaifu
Wengi bado wapo snHivi najua Ulimwengu bado yupo wengine akina nani wako hai? wakati huo nan alikuwa Waziri Mkuu? Warioba,Malecela au Salim?
GharamaNaunga mkono hoja. Serikali 1 inatosha ili kupunguza ghalama.
zanzibar ni koloni la tanganyika hatuliachiNyerere alikuwa hajiamini kuongoza nchi yake , alitaka kusaidiwa na Wazanzibari na ndivyo mlivyo wengi wa waTanganyika hamjiamini , mpo mpo tu.
Yaani hivi mnavyo andika mnadhihirisha akili zenu zilivyo fupi. Jinchi lenu kubwa lenye kila kitu lakini mnang`ang`ania
kajikisiwa kadogo hiki cha Zanzibar???
Akili ni mali
Msipigige kelele tukiuza mbugazanzibar ni koloni la tanganyika hatuliachi
sisi tunavizia mafuta tu hapo kama wamerekani wala hatuna shida na nyie hata mkitaka wote hamieni huku tunajua hata tukiwapa kawe mnatoshaMsipigige kelele tukiuza mbuga
Poooo! kwa wote munaosema kuwe na serikali moja tu. Never never never!!!Serikali iwe moja tu. Zanzibar iwe mkoa.
No, zanzibar iwe wilaya. sio mkoa.Serikali iwe moja tu. Zanzibar iwe mkoa.
sisi tunavizia mafuta tu hapo kama wamerekani wala hatuna shida na nyie hata mkitaka wote hamieni huku tunajua hata tukiwapa kawe mnatosha
U-anglican ndo ulimnyima urais,angekua mkatoliki mkapa asingenusa urais,maana hakumzidi sifa yoyoteWaziri Mkuu alikuwa Malecela .... hii issue ndiyo iliyosababisha asiupate Urais.