Gasy wa Ukweli
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 397
- 201
Na UCHAWA, rushwa ya uhusiano, undugu na kulindana. Hivi kweli unaweza kumuweka kwenye afya Waziri asiye na ujuzi kwenye Afya na utegemee matokeo ya kitaalamu?Vyeo vya Tanzania havitegemei utendaji mzuri wa mtu isipokuwa vinategemea rushwa, ushirikina na urafiki.
Kabila lake linamponza, kama CRDB tu alijaza home boys na home girls, Wizara ya fedha si ingekuwa balaaaaaWabunge ambao walikuwa nauwezekano mkubwa wakuwa Mawaziri lakini hawajafanikiwa. je Ni kwanini.?
Naanza na Mh Charles Kimei mbunge wa jimbo la Vunjo. Huyu watu wengine tulijua anaweza kuwa waziri wa Fedha au Biashara na viwanda lakini Marais wote hawajamchagua kuwa waziri. Je ni kwanini?
Unategemea Rais kilaza anaweza kuteua mjuaji?Wabunge ambao walikuwa nauwezekano mkubwa wakuwa Mawaziri lakini hawajafanikiwa. je Ni kwanini.?
Naanza na Mh Charles Kimei mbunge wa jimbo la Vunjo.
Huyu watu wengine tulijua anaweza kuwa waziri wa Fedha au Biashara na viwanda lakini Marais wote hawajamchagua kuwa waziri. Je ni kwanini?
Hawezi siasaWabunge ambao walikuwa nauwezekano mkubwa wakuwa Mawaziri lakini hawajafanikiwa. je Ni kwanini.?
Naanza na Mh Charles Kimei mbunge wa jimbo la Vunjo.
Huyu watu wengine tulijua anaweza kuwa waziri wa Fedha au Biashara na viwanda lakini Marais wote hawajamchagua kuwa waziri. Je ni kwanini?
Nil1i Fanya kazi kwenye Taasisi moja ya fedha ambayo Ilikua na wachaga wengi na sisi as junior staff tulinong'ona Sana kafika stage ni kaingia kwenye management team ndo nikajua why wachanga ni wengi.Kabila lake linamponza, kama CRDB tu alijaza home boys na home girls, Wizara ya fedha si ingekuwa balaaaaa
Hii ndo changamoto kubwa ndo maana vitu vingine vinakwama. Ila inabidi tutoke huku kama tunataka taifa letu lisonge mbeleVyeo vya Tanzania havitegemei utendaji mzuri wa mtu isipokuwa vinategemea rushwa, ushirikina na urafiki.
ni kweli kabsa lakini kuna wengine wako na uwezo mzuri zaidi kwenye sector flani ambao tunaona wakipewa nafasi wanaweza kufanya kazi vizur zaidiWote hawawezi kuwa mawaziri.Nani atabaki kuzigonga meza bungeni kwa nguvu bila aibu?Zingatia hilo.
Wapo wengi sana hata wengine hawajawahi kukuonesha uwezo wao.Wengi.ni kweli kabsa lakini kuna wengine wako na uwezo mzuri zaidi kwenye sector flani ambao tunaona wakipewa nafasi wanaweza kufanya kazi vizur zaidi
CCM ni wajinga snNa UCHAWA, rushwa ya uhusiano, undugu na kulindana. Hivi kweli unaweza kumuweka kwenye afya Waziri asiye na ujuzi kwenye Afya na utegemee matokeo ya kitaalamu?
Kama hii ni sababu basi Serikalini kungejaa wafanyakazi wachaga.Nil1i Fanya kazi kwenye Taasisi moja ya fedha ambayo Ilikua na wachaga wengi na sisi as junior staff tulinongona Sana kafika stage ni kaingia kwenye mananement team ndo nikajua why wachanga ni wengi.
Mkitangazanafasi za kazi let's say nafasi 20 naweza Pata cv 100 za wachaga na wapo vzr thus katika nafasi ishirni naweza Pata wachaga 15 sio kwa upendeleo no kwa uwezo wao na hii inamaanisha wachaga wanapeleka Sana watoto shule. Nadhani pia 25% au zaidi ya graduate wanao malizia kila mwaka ni wachaga.
Mkuu tusaidie kuwaweka hata wachache ili angalia tuwajue na wanachi wao wape kujuaWapo wengi sana hata wengine hawajawahi kukuonesha uwezo wao.Wengi.
Walioshika mpini hawataki kutoka huko sababu kwao ni manufaa inawalipa vizuri, wanaiba bila wasiwasi, mfumo uliopo ni wa kijinga snHii ndo changamoto kubwa ndo maana vitu vingine vinakwama. Ila inabidi tutoke huku kama tunataka taifa letu lisonge mbele
Hizi ndio tabia za ile SACCOS toka machameVyeo vya Tanzania havitegemei utendaji mzuri wa mtu isipokuwa vinategemea rushwa, ushirikina na urafiki.