raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Sylvestry Koka jamaa kawa mbunge kwa muda mrefu sana sijui kwann hajapata bahati ya kuwa waziri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata nyie UWT mpo hivyoHizi ndio tabia za ile SACCOS toka machame
Hawezi siasa na ni mbunge?????Hawezi siasa
Hizi story za Miaka ya 80s,90, kabla Jakaya hajaingia madarakani. Sasa hivi kila Kijiji,kitongoji,mtaa katika Tanzania hii kina digrii na diploma za kufa mtu......Nil1i Fanya kazi kwenye Taasisi moja ya fedha ambayo Ilikua na wachaga wengi na sisi as junior staff tulinong'ona Sana kafika stage ni kaingia kwenye management team ndo nikajua why wachanga ni wengi.
Mkitangaza nafasi za kazi let's say nafasi 20 naweza Pata cv 100 za wachaga na wapo vzr thus katika nafasi ishirini naweza Pata wachaga 15 sio kwa upendeleo no kwa uwezo wao na hii inamaanisha wachaga wanapeleka Sana watoto shule. Nadhani pia 25% au zaidi ya graduate wanao malizia kila mwaka ni wachaga.
Huyu ubunge wenyewe umemshinda apewe uwaziri wa nini?Wabunge ambao walikuwa nauwezekano mkubwa wakuwa Mawaziri lakini hawajafanikiwa. je Ni kwanini.?
Naanza na Mh Charles Kimei mbunge wa jimbo la Vunjo.
Huyu watu wengine tulijua anaweza kuwa waziri wa Fedha au Biashara na viwanda lakini Marais wote hawajamchagua kuwa waziri. Je ni kwanini?
Huko wapo wengi na wala sio kwa kubebwaKabila lake linamponza, kama CRDB tu alijaza home boys na home girls, Wizara ya fedha si ingekuwa balaaaaa
Ni watu wachache watakuelewa hasa kwa walioona ukweli kama wewe, kozi nyingi za biashara zina wachaga wengi, hivyo usishangae kuwakuta kwa wingi kwenye biashara.Nil1i Fanya kazi kwenye Taasisi moja ya fedha ambayo Ilikua na wachaga wengi na sisi as junior staff tulinong'ona Sana kafika stage ni kaingia kwenye management team ndo nikajua why wachanga ni wengi.
Mkitangaza nafasi za kazi let's say nafasi 20 naweza Pata cv 100 za wachaga na wapo vzr thus katika nafasi ishirini naweza Pata wachaga 15 sio kwa upendeleo no kwa uwezo wao na hii inamaanisha wachaga wanapeleka Sana watoto shule. Nadhani pia 25% au zaidi ya graduate wanao malizia kila mwaka ni wachaga.
Je ana uwezo wa kujizima data? Yaani kuahirisha kufikiri kizalendo a.k.a uchawaWabunge ambao walikuwa nauwezekano mkubwa wakuwa Mawaziri lakini hawajafanikiwa. je Ni kwanini.?
Naanza na Mh Charles Kimei mbunge wa jimbo la Vunjo.
Huyu watu wengine tulijua anaweza kuwa waziri wa Fedha au Biashara na viwanda lakini Marais wote hawajamchagua kuwa waziri. Je ni kwanini?
Hawana connectionWabunge ambao walikuwa nauwezekano mkubwa wakuwa Mawaziri lakini hawajafanikiwa. je Ni kwanini.?
Naanza na Mh Charles Kimei mbunge wa jimbo la Vunjo.
Huyu watu wengine tulijua anaweza kuwa waziri wa Fedha au Biashara na viwanda lakini Marais wote hawajamchagua kuwa waziri. Je ni kwanini?
Pia wabunge wengi wa CCM walibebwa tu enzi zileee za maporiniHawana connection
Hilo nalo neno, yule dhalim aliharibu sana mifumoPia wabunge wengi wa CCM walibebwa tu enzi zileee za maporini
Still wachaga wana grauade kwa wingi kila mwaka, kwa kozi zote na vyuo vyote Tanzania.Hizi story za Miaka ya 80s,90, kabla Jakaya hajaingia madarakani. Sasa hivi kila Kijiji,kitongoji,mtaa katika Tanzania hii kina digrii na diploma za kufa mtu......
Inawezekana mkuu, kumuweka asiyekuwa mtaalamu wa fani husika kuwa waziri. Kwa ujumla wake uwaziri ni nafasi ya kisiasa, hata mchakato wake wa kupata nafasi ya uwaziri ni wa kisiasa, lakini ndani ya wizara kuna Katibu mkuu ambaye aghalabu huwa mtaalamu wa fani husika na pia kuna ma kamishna ambao ni wataalamNa UCHAWA, rushwa ya uhusiano, undugu na kulindana. Hivi kweli unaweza kumuweka kwenye afya Waziri asiye na ujuzi kwenye Afya na utegemee matokeo ya kitaalamu?
Vp kuhusu Prof Muhongo Sospeter?Mpaka kwenye list tuko na hawa. Tuendelee
1.Mh. Charles Kimei -Mbunge wa Vunjo
2.Mh..Mrisho Gamba - Mbunge wa Arusha Mjini
3.Mh Sylvestry Koka - Mbunge wa Kibaha Mjini
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.
...
3. Dk. King Kasheku Musukuma2. Mrisho Gambo
3.