Wabunge Halima Mdee na Esther Bulaya wamefurahi Kanumba kufa?

Lulu inatakiwa aingie jela akakae japo mwaka 1 ili ajue dunia inaendaje, asipopata tabu atajifunzaje?
 
Kanumba alikuwa malaya tu unacheza "maigizo" ya mapenzi na mahusiano halafu akashindwa kuwa "badass" poor him, kisheria lulu anahaki ya kutetewa.Bongo hamna wacheza filamu ,kuna watu "wanaigiza" kuigiza
 

umefunga mjadala, na tuishie hapa
 

halima pokea hili.
 

Marehemu alikuwa anambaka LULU, maana ni under 18 huenda ameanza kukabaka na kukafundisha tabia mbaya kakiwa umri wa 15 years!!!!!!
 
Lulu ana haki sawa na mshitakiwa mwingine mwenye kosa kama hilo na ana haki ya kutetewa na wakili au mawakili tusimuhukumu tuache sheria ifuate mkondo wake.
 

waache wamtetee si kosa, bado sheria itafuata mkondo wake.
 
Inakera Mkuu kuona Watu wanamalizia hasira zao kwa Haka Kabinti. Hivi ngoja Nikuulize. Kosa la Haka Kabinti ni Lipi hasa?

Usinichumishe dhambi mie,nisije nikahukumiwa bure!
 
Mkuu Kuna Mashosti huko Mtaani Lulu alikuwa anawakimbiza Kweli kweli sasa wanafunga ili Maskini haka katoko Kasitendewe haki. Lulu alikuwa anawapiga bao katika kuchuna Mabuzi

mkuu hiyo sentesi ya mwisho unamaanisha nini.
 
Mods ondoeni hizi... Maana mimi nimewasikiliza hawa wabunge wanachokisema kiko sawa.

Nakuomba usome gazeti la Majira la leo ukurasa wa tatu, halafu utoe comment zako.
 

Jitahidi kulewa japo sheria zinavyofanya kazi . labda ungehoji kwa nini Lulu sio kuwanausa mabnti wengine? Lakini kutuhumiwa tu haina maana niMkosaji nahata kama niMkosaji bado hata wauwaji wana haki ya utetezi.
 

Kama kuna maelezo umeacha katika taarifa hii unaweza kupotosha umma ilikuwaje mpaka wamefikia hitimisho hili? (conclusion hii?). Utakuwa umetuletea hitimisho badala ya taarifa muhimu katika hoja yao.

Inawezekana na wao wameona Lulu anahukumiwa na jamii hata kabla ya kesi hivyo wanaona watamsaidia sio kwa kupanga njama bali kuhakikisha haki inatetendeka.

Kumsaidia mtuhumiwa kwa haki sio kosa kisheria kwani haki inafuata mkondo wa sheria.
 
habari yenyewe ya mwanzisha mada ni nyepesi sana 'kuwa wanataka kumsaidia kisheria' lkn watu humu ndani wanatoa maamuzi utadhani usiku ule walikuwapo live ktk tukio na kuhitimisha kuwa binti alilifanya hilo kwa makusudi.

Hii si habari nyepesi haijafahamika kama Lulu anahatia au la, sasa hawa Wabeijing (Bulaya & Mdee) wanaposema wanataka kumnasua wanamaanisha nini?
 
mkuu hiyo sentesi ya mwisho unamaanisha nini.

Mkuu ni Ukweli Kwamba Lulu hakuwa na Sifa nzuri katika Jamii, ni kweli kwamba Lulu alikuwa na Wapinzania wengi katika Maisha aliyokuwa anayaendeleza ( Namaanisha Kuchuna Mabuzi). Angalia blogs mbali mbali zilivyoripoti tukio la kifo cha Kanumba it is as if walikuwepo wakati wa Tukio na kushuhudia Lulu akimsukuma Kanumba.

Mkuu kuna sura Nyingi sana katika wale wanaomhukumu huyu Binti

1. Kuna wale ambao walikuwa hawapendi Tabia ya Huyu binti kwa Ujumla hawa sasa wanaona huu ndio muda mwafaka wa Binti kufundishwa Tabia njema, kwao suala kwamba Lulu anahitaji Kutetewa Maana. Hawa hawana Wivu na Lulu

2. Kuna Mashostito ambao walikuwa na tabia zinazofanana na Lulu ila Katoko kalikuwa kanawapiga bao Sokoni sasa hawa wivu unawaongoza katika Kujadili sakata la kifo cha Kanumba

Nafikiri Umenipata yeh yeh
 
Tupo hapa Jf tuliowahi kubaka na kufanya uzinzi wa aina ya Kanumba tunabeba mawe kumrushia kanumba ili jamii ituone sisi ni wasafi.

Kama tukikamatwa leo tunaingia kwenye kashfa nzito.

Tuwe na roho ya subira kuhukumu waliokufa twende mbele kuirekebisha jamii yetu ili tusipate akina Lulu wengi. Kushughulika na Lulu huyu tunapoteza muda mwingi wa kushughulikia akina Lulu wanaozaliwa kila siku.

Bomba la maji likipasuka tunalaumu maji au tunaziba sehemu iliyopasuka?
 
Kifupi wewe aidha hujui sheria au hujui kazi ya wakili na mwanasheria. Hata jambazi lina haki ya kuweka wakili na kutetewa.
 
Inakera Mkuu kuona Watu wanamalizia hasira zao kwa Haka Kabinti. Hivi ngoja Nikuulize. Kosa la Haka Kabinti ni Lipi hasa?

Mkuu ninashangaa sana watu wanamwaga venom ya ajabu kuhusu huyu mtoto..! Yaani imefikia anaeonekana kumtetea kidogo ni mhaini..! Wanasahau ule msemo wa "it takes 2 to tango".. Kama wameamua kuwa chuki dhidi ya Lulu (ambae obvious udogo wake wa miaka na a stardom status aliyokuwa nayo) na wanashindwa kuwachukia wanaume ambao walim-exploit Lulu..! Na wengine ni wakubwa kuliko hata umri wa baba yake..! Hata Kanumba (RIP) hakustahili kuwa na yeye achilia mbali ku-mistreat the way alivyom-mistreat.. Na chuki inapitiliza mpaka wanaona hastahili haki zake kama mtuhumiwa..! Sidhani kama toka alipokamatwa alisomewa haki zake kisheria.. na kama mwanasheria alikuwapo wakati wa kuhojiwa..! Sasa wanapojitokeza wanasheria kutaka kuhakikisha haki inatendeka bado wenye chuki wanaponda..
Acheni kuhukumu.. Au kama ni lazima kuhukumu basi tuanze na hao wanaume waliomfikisha Lulu hapo.. Kanumba (RIP) akiwa mmoja wapo.. Otherwise hamna moral authority ya kuweka chuki zenu hadharani dhidi ya Lulu..
 

Sina uhakika sana, je Kanumba angekuwepo mzima angemuonea huruma Lulu. Turudi katika utu. Inawezekana ilikuwa ajali. Waacheni wanaotaka kumsaidia kisheria wafanye hivyo. Na mahakama itachukua mkondo wake. tusifanye prejudice.
 
Sina uhakika sana, je Kanumba angekuwepo mzima angemuonea huruma Lulu. Turudi katika utu. Inawezekana ilikuwa ajali. Waacheni wanaotaka kumsaidia kisheria wafanye hivyo. Na mahakama itachukua mkondo wake. tusifanye prejudice.

Mkuu Inawezekana huko Kanumba anasikitika na jinsi watu wanavyomtundika Lulu katika Msalaba ( Hatujui) na kama angekuwa na uwezo wa Kuzungumza Pengine angesema ambayo yangetushangaza wengi, May be yeye ndiye chanzo cha Ugomvi uliopelekea Kifo Chake (Hatujui)
 
Hii si habari nyepesi haijafahamika kama Lulu anahatia au la, sasa hawa Wabeijing (Bulaya & Mdee) wanaposema wanataka kumnasua wanamaanisha nini?

Kwani Kumnasua maana yake ni nini? Yaani katika Maelezo yao yoooote wewe Umeona "Kumnasua tu"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…