Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,470
- 515
Umalaya katika umri wa utoto kumesababisha kumomonyoa maadili ya mabinti zetu, la mauaji tusubiri mahakama.
Inakera Mkuu kuona Watu wanamalizia hasira zao kwa Haka Kabinti. Hivi ngoja Nikuulize. Kosa la Haka Kabinti ni Lipi hasa?