Wabunge hili nalo mkalitazame kwenye mjadala yenu

Wabunge hili nalo mkalitazame kwenye mjadala yenu

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Suala la bima kwa wote ni zuri!

Lakini hakikisheni sheria isimlazimishe mtu kuwa na bima! Bima kwa wote iwe ni Hiari!
  • Mtu asinyimwe huduma za kijamii kisa hana bima
  • Mtu asinyimwe pembejeo kisa hana bima
  • Mtu asinyimwe damu kisa hana bima
  • Mtu asisafili kisa hana bima
  • Mtu asinyimwe leseni kisa hana bima!
Bima kwa wote ibaki kuwa huru mtu kuingia na kutoka!

Mkiwalazimisha sana watu kuwa na bima wataka kwa Mara ya kwanza lakini mwaka wa pili hawatarenew itabakia kuwa Dormant!

Wataoingia kwa hiari wahudumiwe vyema ili kila mtu atamani kuwa na bima!

Dada yangu Ummy na wabunge wenzako Hili mkalitazame kwa kina!
 
Ningekua katibu na ummy ningrmuambia hili mwa sasa waliache Ila ndio hivyo tena too late.

Issue haipo bima kwa wote, issue kunusuru mfuko. Lakini huku kwenye kunusuru mfuko kunaweza kukawa ndio kifo chenyewe kuliko ilivyo sasa
 
Ningekua katibu na ummy ningrmuambia hili mwa sasa waliache Ila ndio hivyo tena too late.

Issue haipo bima kwa wote, issue kunusuru mfuko. Lakini huku kwenye kunusuru mfuko kunaweza kukawa ndio kifo chenyewe kuliko ilivyo sasa
Wabunge wahakikishe hilo linabaki kuwa huru!
 
Suala la bima kwa wote ni zuri!

Lakini hakikisheni sheria isimlazimishe mtu kuwa na bima! Bima kwa wote iwe ni Hiari!....
Yaan hio inaenda kuwekwa kwenye mfumo

Hukumsikiliza Ummy Mwalimu wewe?
 
Yaan hio inaenda kuwekwa kwenye mfumo

Hukumsikiliza Ummy Mwalimu wewe?
Kule kwa wahadzabe wanategemea mizizi kujitibu, wamasai na wagologole na wengineo! Ukiwanyima huduma zingine za kijamii ni kurudisha ukoloni mamboleo!
Hili wakalitazame kwa kina
 
Kule kwa wahadzabe wanategemea mizizi kujitibu, wamasai na wagologole na wengineo! Ukiwanyima huduma zingine za kijamii ni kurudisha ukoloni mamboleo!
Hili wakalitazame kwa kina
Ukienda Choo cha kulipia onyesha Kadi Ya Bima ya Afya bila hivyo jinyee tu

No Bima Ya Afya No Service
 
Wabunge wahakikishe hilo linabaki kuwa huru!
Mbona mpaka sahizi ni hiari kwa yeyote kuwa na bima.

Mi nafikiri iwe lazima kila mtu awe na bima ila ishuke bei iwe angalau elfu 50400 kama ya wanafunz/watoto.
 
Mbona mpaka sahizi ni hiari kwa yeyote kuwa na bima.

Mi nafikiri iwe lazima kila mtu awe na bima ila ishuke bei iwe angalau elfu 50400 kama ya wanafunz/watoto.
Ngoja tuone mjadala
 
Suala la bima kwa wote ni zuri! Ila bima hiyo iunganishwe na NHIF ili mfuko wa bima nchini uwe mmoja badala ya kwenda kuanzisha mfuko mpya wa kuzalisha ulaji , wizi na ajira zizizo na tija.
Ngoja inyeshe tuone panapovuja
 
Tukumbuke kwa wanachama wachache wa NHIF mfuko unalia kuzidiwa,eti mtu mmoja anatibiwa ugonjwa huo huo mara kadhaa.Leo ujidai kutoa huduma kwa Tz nzima si ndo itakuwa kasheshe,sijui!!
 
Labda bunge la somalia.

Tanzania hakuna bunge bali kuna kikao cha ccm kwenye jengo la bunge.
 
Back
Top Bottom