Wabunge Kenya wanataka walipwe million 40 kwa mwezi 😁

Wabunge Kenya wanataka walipwe million 40 kwa mwezi 😁

Tanzania inaongoza Africa katika "Inclusiveness", maandamano yanini?.
Huku kwetu ni watu watatu tu ndio wanaolindwa 24/7
1)Rais
2)Vice President
3)Prime minister
Kenya hadi Senator analindwa 24/7 kwa gharama za serikali. Kamwe madeni hayawezi kuisha, na hamtokaa mjenge hata nusu kilometer ya SGR kwa pesa yenu.
Nchi ya waheshimiwa,wako kula na kunywa wakenya wanapiga yawning tu,watalipishwa kodi hadi wafurah...wanasema wanakatiba nzuri?Kenya ni failed state moja haikaii mbili haiwezekani
 
Nchi ya waheshimiwa,wako kula na kunywa wakenya wanapiga yawning tu,watalipishwa kodi hadi wafurah...wanasema wanakatiba nzuri?Kenya ni failed state moja haikaii mbili haiwezekani
Sijui kwanini wakenya hawaoni kwamba gharama za kuendesha nchi zipo juu zaidi ya uwezo wa nchi, badala yake wanajisifia kwa kulipa mishaara mikubwa kwa wakenya 2% pekee, hivi hiyo katiba wanayoisifia inasaidiaje Kenya, au kama kawaida yao ni kwa ajili ya kutafuta SIFA?
 
Back
Top Bottom