Tanzania inaongoza Africa katika "Inclusiveness", maandamano yanini?.
Huku kwetu ni watu watatu tu ndio wanaolindwa 24/7
1)Rais
2)Vice President
3)Prime minister
Kenya hadi Senator analindwa 24/7 kwa gharama za serikali. Kamwe madeni hayawezi kuisha, na hamtokaa mjenge hata nusu kilometer ya SGR kwa pesa yenu.