Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Kwahiyo unakiri ccm ni chama cha wala rushwa.Hiyo ni rushwa ya wazi wazi.
Kwa nini asubiri mpaka siku anawasilisha bajeti ya wizara yake bungeni ndiyo atoe hiyo mitungi? Huhitaji kuwa mpiga ramli kujua kuwa hiyo ni rushwa.
Yale yale ya Jairo...Mkuu bajeti ya Tanzania hauhitaji kuhonga Ili ipitishwe unless wangekuwepo wapinzani ndio utasema wanahongwa Ili "wasiongee".
Katiba yetu inasema bajeti ikikataliwa na wabunge basi Rais anaweza kulivunja bunge. So utaona hata hao CCM huwa wanakosoa weeeh ila anamalizia kwa kusema "Naunga mkono hoja" na utasikia"Nimeachia shilingi". Sasa mazuzu kama hao wanaobanwa na katiba uwahonge kwa kazi Gani?
Huo ni ufisadi kama ulivyo ufisadi wa kutumia Mali za umma kujinufaisha wenyewe ila sio rushwa sababu katiba HAIRUHUSU kupinga bajeti yoyote yule..
Kama wako bungeni kwa wizi wa kura, ni uadilifu gani unategemea kutoka kwao?Kama ni kweli itakuwa jambo la aibu sana mkuu,
Kwa maoni yangu naona hiyo inaweza kuwa dharua kubwa kwa muhimili wa bunge lenye watu mia tatu kushindwa kung'amua Hila ya waziri
Kila siku tunapiga kelele kutengenisha mihimili
Serikali na bunge
Leo naona kama bunge linataka kuingizwa kwenye mtego wa waziri wa serikali
Uko sahihi kabisa. Bajeti yoyote ya serikali ikienda bungeni, wabunge wa CCM lazima waiunge mkono. Huwa nashangaa hata watu wakisema eti bunge huwa linatunga sheria. Lakini ukitazama uhalisia ni kuwa sheria zote hutungwa na serikali, na huko bungeni ni rubber stamp tu.Mkuu bajeti ya Tanzania hauhitaji kuhonga Ili ipitishwe unless wangekuwepo wapinzani ndio utasema wanahongwa Ili "wasiongee".
Katiba yetu inasema bajeti ikikataliwa na wabunge basi Rais anaweza kulivunja bunge. So utaona hata hao CCM huwa wanakosoa weeeh ila anamalizia kwa kusema "Naunga mkono hoja" na utasikia"Nimeachia shilingi". Sasa mazuzu kama hao wanaobanwa na katiba uwahonge kwa kazi Gani?
Huo ni ufisadi kama ulivyo ufisadi wa kutumia Mali za umma kujinufaisha wenyewe ila sio rushwa sababu katiba HAIRUHUSU kupinga bajeti yoyote yule..
Natabiri itakuwa ni Taifa Gas, usiniulize kwann!.Nataka kujua ni mitungi ya gesi ya kampuni gani? Tuanzie hapa!
Kama SI rushwa na utaratibu uliotumia una ukakasi je tuseme waziri anatafuta simple popularity kwa wabunge kujipendekeza kwa malengo binafsi ya sasa au baadae ?Uko sahihi kabisa. Bajeti yoyote ya serikali ikienda bungeni, wabunge wa CCM lazima waiunge mkono. Huwa nashangaa hata watu wakisema eti bunge huwa linatunga sheria. Lakini ukitazama uhalisia ni kuwa sheria zote hutungwa na serikali, na huko bungeni ni rubber stamp tu.
Aisee je bunge litaacha sera ya ushindani na kupromote kampuni moja, huoni wataingizwa kwenye aibu zaidi, kama mhe waziri alivyoacha majukumu yake na kuwa kama sales market manager wa kampuni Moja ya gas ?Natabiri itakuwa ni Taifa Gas, usiniulize kwann!.
Eleza kidogo mkuu ya jairo yalikuwajeYale yale ya Jairo...
Nafikiri ni maoni yake tu mkuuKwahiyo unakiri ccm ni chama cha wala rushwa.
So it can be a Rostom again !?Kwanza tujuwe ni mitungi ya gas ya kampuni gani?
Kama ni ya Taifa Gas ni wepesi sana kuelewa hiyo ni kazi ya business genius, Rostam.
Kama imetoka kwa Rostam basi hapi itakuwa amewauzia kwa gharama tu wizara ya nishati au hata kawapa bure. Utajiuliza sababu?
Sababu ni nyepesi sana, "kula uliwe" ukitaka kula ni lazima uliwe. Ni pure business na haina uharamu wowote.
Mama Salma kashaonyesha Hilo hadharani ,asilimia kubwa kusifia huku akisahau matatizo lukuki ya wizara husika , gharama za kufunga umeme zikiwa juu , unit ghali nkNi rushwa ya wazi. Unafikiri wanaweza hata kuchambua bajeti yake kwa uhuru?
Kwani lisu akiwa ni shoga basi chadema yote ni ya mashoga?Kwahiyo unakiri ccm ni chama cha wala rushwa.
Yeye anajiwekea mazingira ya kugombea urais huko mbeleniz sio zaidi ya hapo.Kama SI rushwa na utaratibu uliotumia una ukakasi je tuseme waziri anatafuta simple popularity kwa wabunge kujipendekeza kwa malengo binafsi ya sasa au baadae ?
Wabunge ndio wawakilishi wa wananchi, ukitaka kuwafikai wananchi kwa urahisi unapita kwao. Sijui kwa nini unapata tabu kuelewa jambo rahisi kama hilo. Una mawzo ya kizikizi tu na kama watu wanavyo sema kama unakijua basi uanacho au unakifanyaWadau hongereni kwa majukumu yenu ya kila siku ya kulijenga taifa letu
Kwanza niunge mkono juhudi za serikali na wadau mbalimbali wa mazingira ktk nishati safi ya kupikia
Wakuu najiuliza majukumu ya wabunge ni yapi na je wamefanikiwa yote Hadi wapewe jukumu lingine la kugawa gesi kwa wananchi.
Ndani ya nchi yetu Kuna wadau wengi sana wa mazingira wenye elimu ya mazingira na wako kwenye nafasi nzuri zaidi ya kutoa elimu kwa jamii kwanini serikali isishirikiane nayo
Lakini pia kwenye halmashauri zetu naamini Kuna maafisa au kamati za mazingira, kwa nini waziri asishirikiane na viongozi wa halmashauri na wadau katika ugawaji na utoaji wa elimu endelevu
Nafikiri hata spika ameona huo ukakasi ndo maana akafununua bila kuombwa ufafanuzi tena akajibu maswali yalipaswa kujibiwa na waziri mwenye dhamana
Bado naendelea kuangalia maamuzi mbalimbali ya mhe January Makamba kama ndani yake Kuna Nia njema
Je Waziri akikosea kesho wabunge watakua na ujasiri wa kutosha kumkosoa ?