Wabunge kumzomea m/k wa tume na kusababisha kutowasilishwa kwa rasimu ni kuvunja kiapo

Wabunge kumzomea m/k wa tume na kusababisha kutowasilishwa kwa rasimu ni kuvunja kiapo

Kanuni ya 7 G na H zimevinjwa. G inamtaka raisi aje bungeni na kufanya ufunguzi wa bunge baada ya hapa kanuni ya 7 H inasema m/kiti wa tume atakuja kuwasilisha rasimu ktk bunge. So kimsingi raisi alitakiwa aje yeye kwanza bse ndiye boss then warioba, CCM wamebaka kanuni mapema hii. Nadhani walikuwa wanamtengenezea Jei Kei mazingira ya kupata muda wa kusikia atakachosema Warioba then aweze kuleta mipasho na kudhoofisha mchakato wote

so correct,maccm haya bwana!!!!
 
Kanuni ya 7 G na H zimevinjwa. G inamtaka raisi aje bungeni na kufanya ufunguzi wa bunge baada ya hapa kanuni ya 7 H inasema m/kiti wa tume atakuja kuwasilisha rasimu ktk bunge. So kimsingi raisi alitakiwa aje yeye kwanza bse ndiye boss then warioba, CCM wamebaka kanuni mapema hii. Nadhani walikuwa wanamtengenezea Jei Kei mazingira ya kupata muda wa kusikia atakachosema Warioba then aweze kuleta mipasho na kudhoofisha mchakato wote
Hilo ndiyo lengo la hao wakubwa,ni upuuzi kila sehemu,ila Sitta ajue kuwa ndiyo anaanza kujitoa kwenye mbio za urais kwa kuanza kutumiwa!!
 
Cha ajabu wanafanya vikao vya SIRI, ila wanataka kura za WAZI. Hawa jamaa walitaka kushinikiza Jaji Warioba asome ripoti yake kabla ya ufunguzi rasmi wa bunge hili na mh. Rais JK, ili JK amlime vijembe kwenye ripoti ya Warioba. Sasa wabunge wengi wameamua kufanya fujo ili kanuni hii isivunjwe na Warioba asiisome leo ripoti yake mpaka rais alifungue bunge. Shinikizi la kuvunja hii kanuni limeshindikana, inaelekea fujo kama hizi zitakuwa nyingi sana katika bunge hili hasa kutokana na mashinikizo wanayoyalazimisha CCM (less than 5 Milion) ili kufanikisha matakwa yao dhidi ya matakwa ya wananchi (45 Milion).

safi sana nimeipenda hiyo, wacha aje jk kwanza aporoje alafu aje warioba asafishe mazingira
 
CCM ni watu wa ajabu sana! Yani wanatumia wingi wao kupitisha sheria au kanuni ambazo mwisho wa siku zinakuwa ngumu kuzitekeleza au hazitekelezeki kabisa na zinawagharimu wenyewe!,Mwisho wa siku wanategemea waje kutengua na kibaya zaidi muda mwingine hutengua kanuni kienyejienyeji/kihovyohovyo.
 
Kanuni ya 7 G na H zimevinjwa. G inamtaka raisi aje bungeni na kufanya ufunguzi wa bunge baada ya hapa kanuni ya 7 H inasema m/kiti wa tume atakuja kuwasilisha rasimu ktk bunge. So kimsingi raisi alitakiwa aje yeye kwanza bse ndiye boss then warioba, CCM wamebaka kanuni mapema hii. Nadhani walikuwa wanamtengenezea Jei Kei mazingira ya kupata muda wa kusikia atakachosema Warioba then aweze kuleta mipasho na kudhoofisha mchakato wote

Nzuri sana, sasa kama sharia wamepitisha wao kwanini wamwite warioba hadi amefika ukumbini? asipelekewe habari uko mpaka aje rais kwanza? tuko nyumba yenu hizo najama zipo kibao kuweni macho zaidi
 
Kuna watu wanalaumu kuhusu zomeazomea lakini hawajui na wala hawaulizi chanzo ni nini. Hivi kweli kama kanuni inasema Rais atalihutubia BMK kwanza halafu anafuata Jaji Warioba. tunataka kusema kuwa Jaji Warioba ndiye rais? Tuache ushabiki katika mambo ya kitaifa
 
Wabunge kumzomea m/k wa tume na kusababisha kutowasilishwa kwa rasimu kwa mujibu wa sheria ni kuvunja kiapo walichoapa kwamba watakuwa watiifu kwa jamhuri ya muungano, kwani warioba alisimama kwa mujibu wa sheria za jm.

:juggle: :A S 465: :majani7::behindsofa::drum::fish: :clap2::msela::msela::msela::msela::smow: Jamani Tanzania ya leo sio ya jana na watanznia wa leo sio wale wa chama kimoja..... watu wanapambanua ... na hawako tayari kuburuzwa.... lazima wahusika watambue hili.... wanataka uhuru wao wenyewe sio wakusemewa mambo na kuamuliwa mambo
 
Wabunge kumzomea m/k wa tume na kusababisha kutowasilishwa kwa rasimu kwa mujibu wa sheria ni kuvunja kiapo walichoapa kwamba watakuwa watiifu kwa jamhuri ya muungano, kwani warioba alisimama kwa mujibu wa sheria za jm.
Hivi na wewe ni Great Thinker hahahaha yaani hapo umefikiria na ndiyo mwisho wako....dah! basi tena
 
Cha ajabu wanafanya vikao vya SIRI, ila wanataka kura za WAZI. Hawa jamaa walitaka kushinikiza Jaji Warioba asome ripoti yake kabla ya ufunguzi rasmi wa bunge hili na mh. Rais JK, ili JK amlime vijembe kwenye ripoti ya Warioba. Sasa wabunge wengi wameamua kufanya fujo ili kanuni hii isivunjwe na Warioba asiisome leo ripoti yake mpaka rais alifungue bunge. Shinikizi la kuvunja hii kanuni limeshindikana, inaelekea fujo kama hizi zitakuwa nyingi sana katika bunge hili hasa kutokana na mashinikizo wanayoyalazimisha CCM (less than 5 Milion) ili kufanikisha matakwa yao dhidi ya matakwa ya wananchi (45 Milion).
Hawa jamaa as if hayawani mi napata shida sana kuwaelewa
 
Mimi siamini kama hao waliozomea ni wahuni,kwa sababu wengi wamechaguliwa na wananchi na wengine wamechaguliwa na mh Rais.Mimi nadhani waliozomea wana sababu! Wasikilizwe.
 
wewe Ni kichaa,waliokua wanapiga kelele Ni wapinzani CCM inaingiaje?

Wewe ndio utakuwa kichaa unapozungumzia wapinzani ninachojua CCM ndio wapinzani wa Warioba na ndio waliokuwa wakipiga kelele kwa hiyo ingawa wewe ni kichaa lakini haujakosea kwa kuandika kuwa wapinzani ndio waliokuwa wakipiga kelele.
 
Kuna watu wanalaumu kuhusu zomeazomea lakini hawajui na wala hawaulizi chanzo ni nini. Hivi kweli kama kanuni inasema Rais atalihutubia BMK kwanza halafu anafuata Jaji Warioba. tunataka kusema kuwa Jaji Warioba ndiye rais? Tuache ushabiki katika mambo ya kitaifa
Wapi wamesema rais inabidi alihutubie bunge la katiba?
 
Wabunge kumzomea m/k wa tume na kusababisha kutowasilishwa kwa rasimu kwa mujibu wa sheria ni kuvunja kiapo walichoapa kwamba watakuwa watiifu kwa jamhuri ya muungano, kwani warioba alisimama kwa mujibu wa sheria za jm.
Hivi baba ukikojoa kitandani halafu mtoto akakucheka utasema hana adabu?
 
Shikamooo WABUNGE kwa kukataa kuburuzwa na Mwenyekiti kwa maslahi ya CCM.. Haiwezekani kuwaburuza watanzania wanavyotaka wao. Hii nchi sio ya CCM peke yao,, kila kitu wanachokifanya wanataka kulinda maslahi yao na watoto wao na si maslahi ya watanzania.. Eti Rais amebanwa na shughuli ndiyo maana hakuanza.. Sababu za kijinga kabisa.. Hivi hizo shughuli zinazombana Rais ni zipi ambazo zina umuhimu kuliko mstakabali wa taifa... Ungekuwa msiba hata gongo la mboto angekwenda...

Rais azindue then Warioba aje wasilishe kwa muda wa kutosha kabisa... Wanachotaka kufanya JK aje kuweka mambo sawa maana wanajua Warioba atawasilisha maoni ya wananchi...

Mimi niwaombe Wabunge hiyo ndiyo iwe njia ya kukataa kuburuzwa... Hakipiti kitu mpaka maslahi ya umma yazingatiwe...

Sitta asipoangalia hili Bunge litamchafulia sifa yake.

Nasema tena Wabunge Shikamooo kwa kukataa upuuzi wa Sitta..
 
Chini ya utawala wa ccm, katiba mpya ni ndoto!! Sitta amevunja kanuni waziwazi huku maccm yakiangalia tu!
 
Gooooooooooooooo.......hadi nyavuni.
Tumeshinda.
 
Bunge lolote kama wezi wa CCM na mafisadi wake bado wako wengi ni hatari kwa taifa kama hatari mji kuwa na vyangudoa wengi
 
Back
Top Bottom