Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Wapo wamejirekodiUnataka kumrekodi mbunge?
Aisee Mtihani huo, Ndio huyo wa TarimeWapo wamejirekodi
Tarime ipi hiyo?Poleni sana wana tarime na kule kahengesa
Tarime na SumbawangaAisee Mtihani huo, Ndio huyo wa Tarime Tarime ipi hiyo, ?
Haswaaa.Mdee na yule cheupe wa ukulyani
Hahahaha Kaengesa sio Kahengesa. Pia sio sumbawanga ni Nkasi-Kaskazini. Ni sawa na kuita Rombo Moshi badala ya Kilimanjaro.Poleni sana wana tarime na kule kahengesa
Angalia atatupia kale ka Gwajima!Una kavideo ka wabunge tuone ili tuchangie vizuri? maana bila video hatuwezi jadili
E Ma✅co?!!😳Haswaaa.
E Ma[emoji736]co?!![emoji15]
Inapatikana YouTube? Au kwa koneksheni?Ipo lkn ukiitupia hapa jukwaani sekunde zake za hiyo video kudumu ni sekunde
Hapa anamlenga Mbunge Baba Askofu.THREAD yako inaleta maswali sana
Kwanini uulize kwa mbunge peke ake ?
Au wewe ni mbunge uliefanya huo msala ? Uko unataka kujua hatima yako ?
Au Kuna video huko ya mbunge umeshaipata ? Unauliza kabla hujamlipua ?
Au unamzungumzia Mbunge Rashid ?
Asante sana mkuu kwa kunipa elimu maana elimu haina mwisho mkuuHahahaha Kaengesa sio Kahengesa. Pia sio sumbawanga ni Nkasi-Kaskazini. Ni sawa na kuita Rombo Moshi badala ya Kilimanjaro.
Sijaelewa mkuu, wamejirekodi au unatamani warekodiwe?!Eeeh hata covid 19 wotee