Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sumbawanga mjini sio nkasiHahahaha Kaengesa sio Kahengesa. Pia sio sumbawanga ni Nkasi-Kaskazini. Ni sawa na kuita Rombo Moshi badala ya Kilimanjaro.
Mkuu naitafuta pia,ni ya Matiko na Aeshiweka video hapa kwanza
hebu mwageni mchele kwenye kuku wengiMkuu naitafuta pia,ni ya Matiko na Aeshi
Kama simu za watu zilirekodiwa na sauti zao kuwekwa hadharani tena viongozi wakubwa kabisa itakuwa hizo.Umeuliza jambo la maana sana lakini binafsi sitatoa jibu la moja kwa moja ila tunatakiwa tutafakari kwa pamoja.
Umetumia neno "faragha" au kwa kiingereza "privacy" na hapa ndipo msingi wa majadiliano yangu.
watanzania tukijua maana ya faragha hatutakuwa na maswali mengi na kwa bahati mbaya ukiijua faragha ya mtu hutaitumia kumdhalilisha bali utahifadhi faragha yake.
Ni nani anayetoa hiyo faragha ya mbunge? Ni yeye mwenyewe anaiweka Whatsapp,Telegram,Insta au FB? Kama ni yeye mwenyewe anapost katika account yake hilo ni kosa inabidi alibebe.
Kuna fundi simu na wa computer amabo ukiwapelekea chombo chako wanakagua faragha zako na wanazihamishia kwao,hawa ndio wengi na inabidi washughulikiwe.
La mwisho pamekuwa na wimbi la Polisi wakikamata watu maarufu wanakimbilia kuchukua simu zao na Computer, hawa ni watu wanatakiwa wafanyiwe mjadala wa kina na tuelezwe kuhusu wakikuta faragha za mtuhumiwa wanazifanyia nini?
Tuheshimu faragha za watu, ndio ustaarabu. Tumepiga hatua kutokupiga picha maiti au ajali na naamini katika hili nalo tutafanikiwa.
Ngoja niende huko jukwaa la kikubwa.Hapa ndio umuhimu wa jukwaa la kikubwa unapoonekana
Bado kidogo aliwe kisusioHeeeh kumekucha sas lol, mwageni mchele sie tudonoe.
Mkuu naomba nitumie PMEster anakata nyie Duh!...
Chonde chonde nisambazie na mimi nione uno lake mkuuEster anakata nyie Duh!...
Kandamaalum[emoji16]Chonde chonde nisambazie na mimi nione uno lake mkuu
Kule sipo mkuuKandamaalum[emoji16]
Chief fanya maajabu kwa PM tafadhali.Ester anakata nyie Duh!...
Naona Ayesh kaamua kujihudumia kwa cheupe dawaMkuu nimeamua nn?
Mbona Tanzania nzima wanajua sasa
Duuuh hatareeh San lol.Bado kidogo aliwe kisusio
Plz naomba ntumie PM.Ester anakata nyie Duh!...
Kuna wabunge ambao wamewatengenezea video ya ngono sasa wanataka kuwalipua!!!! Hizi video za kuumba kama hatutakuwa makini watu wengi wataumizwa!!! Kwenye jamii ambayo haijaelimika na hivyo kuamini kila kitu kiwekwacho kwenye mitandao bila kuchunguzwa hii italeta hatari sana.Wapo wamejirekodi