Wabunge/ Mbunge akijirekodi faragha anaweza kupoteza Ubunge wake?

Wabunge/ Mbunge akijirekodi faragha anaweza kupoteza Ubunge wake?

Aeshi ana bonge ya mke, chotara fulani hivi ila bado anahangaika na manung'ayembe!!! So sad.

Makonda alikuwa sahihi kumpiga stop kukanyaga Dar huyu mzinzi!
Mkuu hakuna mkate mgumu mbele ya chai,maana hata yule mtukufu wa America ya ziwa Mgharibi anavyo hangaika na vyuma vyeupeeee
 
Kuna wabunge ambayo wamewatengenezea video ya ngono sasa wanataka kuwalipua!!!! Hizi video za kuumba kama hatutakuwa makini watu wengi wataumizwa!!!
Hata kama ni za kuumba au kubumba vyote sawa maana hawana faida kwetu sisi.

Umakini wao ulikuwa unaonekana wakiwa bado wapo cdm maana kule ethics za kiuongozi zipo na zinazingatiwa sana .

Huko walipo hamia ndiyo uwanja wa mazoezi ya kuivunja amri ya sita.
 
Nafikili lipo jambo hua linatokea, haiwezekani from no where mtu na akili timam apige video za faragha na kuzipublic, dunia ina Mambo Sana hii do not trust any one in this world,may be only your parents,your heart,Jesus christ
Hivi karibuni kumekuwepo na tabia ya Mambo ya chumbani kurekodiwa na kutupwa mitandaoni.

Vitendo hivi kwa kiasi kikubwa vinapofanywa na watu wenye nyadhifa za kidini na kisiasa hakuna hatua huchukuliwa ila anapofanya mtumishi mwajiriwa wa Umma au hata sekta binafsi polisi hupeleleza mara moja na kuwafikisha mahakamani.

Wanapofanya wasanii hivyohivyo, Je kama ni jinai kwanini inachagua makundi ya kuchukuliwa hatua?

Wanawake wanaochipukia na kujiimarisha kwenye jamii wamekuwa wahanga pia katika ukatili huu wa kidhalilishaji.

Napenda tujielimishe; Mbunge anaweza chukuliwa hatua ikithibitika amerekodi au kurekodiwa akiwa anafanya mapenzi?
 
Naona ni porojo za kuchafuana tu hakuna kitu kama hicho
 
Back
Top Bottom