Pre GE2025 Wabunge mliopata ubunge kwa nguvu ya Hayati Magufuli tafuteni kazi nyingine mapema

Pre GE2025 Wabunge mliopata ubunge kwa nguvu ya Hayati Magufuli tafuteni kazi nyingine mapema

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Mwendazake aliitumia vizuri nguvu yake ya uongozi kuwapa watu ubunge wenye uwezo mdogo wa kufikiri. Mfano Khamis Taletale au Babu Tale, mbunge wa Sengerema Khamisi Tabasamu na wengine wote wenye uwezo mdogo wa kutengeneza hoja ninawashauri tu watafute kazi nyingine za kufanya kwa sababu 2025 ni pagumu sana watakaopita watakuwa ni wachache sana au wasipite kabisa.
 
Mwendazake aliitumia vizuri nguvu yake ya uongozi kuwapa watu ubunge wenye uwezo mdogo wa kufikiri....mfano khamis taletale au babu tale, mbunge wa sengerema khamisi tabasamu na wengine wote wenye uwezo mdogo wa kutengeneza hoja ninawashauri tu watafute kazi nyingine za kufanya kwa sababu 2025 ni pagumu sana watakaopita watakuwa ni wachache sana au wasipite kabisa...
😂😂😂😂 babutale,mwanafa, nk
 
Mwendazake aliitumia vizuri nguvu yake ya uongozi kuwapa watu ubunge wenye uwezo mdogo wa kufikiri....mfano khamis taletale au babu tale, mbunge wa sengerema khamisi tabasamu na wengine wote wenye uwezo mdogo wa kutengeneza hoja ninawashauri tu watafute kazi nyingine za kufanya kwa sababu 2025 ni pagumu sana watakaopita watakuwa ni wachache sana au wasipite kabisa...
inaweza kua kwa wabunge wengineo lakini sio kwa uliowataja....

for ur informations,
uliowataja watarejea mjengoni bila tashwishwi yoyote na kwa uhakika zaid kuliko mbunge mwingine yeyote,

unless utumie chuki binafsi kuonyesha mapungufu yao mtandaoni ambayo pia hayatadhoofisha wa kufifisha nguvu za kisiasa walizonazo kutokana na kazi kubwa walizofanya majimboni mwao kwa wanainchi wanao wawakilisha....

ni kuhakikishie tu,
majimboni mwao, hawa waungwana ni miongoni mwa very influencial and very powerful politicians dhidi ya yeyote yule atakaejitokeza kuwapa changamoto kwenye uchaguzi wowote ujao, na ni vigumu mno kuwashinda 🐒
 
Mwendazake aliitumia vizuri nguvu yake ya uongozi kuwapa watu ubunge wenye uwezo mdogo wa kufikiri. Mfano Khamis Taletale au Babu Tale, mbunge wa Sengerema Khamisi Tabasamu na wengine wote wenye uwezo mdogo wa kutengeneza hoja ninawashauri tu watafute kazi nyingine za kufanya kwa sababu 2025 ni pagumu sana watakaopita watakuwa ni wachache sana au wasipite kabisa.
Hata wale waliopata kupitia gereje watafute namna nyingine 🤣
 
Sure, uchaguzi wa 2025 hautokua kama wa 2020. Wajipange haswa, maana mkulu mwenyewe anahangaika na mambo yake na yeye akalie kiti bila wasi, na wao watafute namna.
kama yatatokea mabadiliko ya wabunge bas,

CCM parliamentary seats candidates will be replaced by other powerful CCM members and not otherwise....

this one I must put it very clear 🐒
 
Mwendazake aliitumia vizuri nguvu yake ya uongozi kuwapa watu ubunge wenye uwezo mdogo wa kufikiri. Mfano Khamis Taletale au Babu Tale, mbunge wa Sengerema Khamisi Tabasamu na wengine wote wenye uwezo mdogo wa kutengeneza hoja ninawashauri tu watafute kazi nyingine za kufanya kwa sababu 2025 ni pagumu sana watakaopita watakuwa ni wachache sana au wasipite kabisa.
Babu tale foo everibade
 
Labda kuwe na kufunga ofisi za kurudisha form, ila kikawaida hii ni ngumu kutathmini
nakuhakikishia tu muungwana kwamba, kura za maoni CCM zikiisha ndio uchaguzi mkuu umekwisha huo..

mengine baada ya hapo ni kukamilisha ratiba tu kwa mujibu wa sheria, kanuni na katiba ya nchi 🐒
 
Back
Top Bottom