mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
wana JF
Haya sasa mshapewa chenu, sasa tunataka kuona mahubiri yenu mliyokuwa mnatuhutubia kuhusu ajira , kilimo kwanza, viwanda. tayari mtaji wa kuwa na viherani saba kuwa kiwanda mnazo hela. Sisi wasio na kazi tunangoja hela zenu zitutengenezee ajia. Muigeni Mh. Pinda anafuga Nyuki, anafuga Ng'ombe.
Lakini kumbukeni kura za maoni ni mwanzo wa vifo hutokea maana ukimwaga vibaya mahela alafu ukakatwa ndio mwanzo wa mawazo. mwanzo wa umaskini unakukaba unaanza kwenda kuomba kwa wabunge wenzio. huku ndio kuitwa ombaomba.
Haya sasa mshapewa chenu, sasa tunataka kuona mahubiri yenu mliyokuwa mnatuhutubia kuhusu ajira , kilimo kwanza, viwanda. tayari mtaji wa kuwa na viherani saba kuwa kiwanda mnazo hela. Sisi wasio na kazi tunangoja hela zenu zitutengenezee ajia. Muigeni Mh. Pinda anafuga Nyuki, anafuga Ng'ombe.
Lakini kumbukeni kura za maoni ni mwanzo wa vifo hutokea maana ukimwaga vibaya mahela alafu ukakatwa ndio mwanzo wa mawazo. mwanzo wa umaskini unakukaba unaanza kwenda kuomba kwa wabunge wenzio. huku ndio kuitwa ombaomba.