Uchaguzi 2020 Wabunge na madiwani waliopewa kadi leo za ACT-Wazalendo walishajitenga siku nyingi na chama

Uchaguzi 2020 Wabunge na madiwani waliopewa kadi leo za ACT-Wazalendo walishajitenga siku nyingi na chama

Lipumbavu kaamua kuisambaratisha Cuf hii Kali sana see you again cuf at the paradizo.
 
View attachment 1484343

"Wabunge hawa walishaamua kujitenga na CUF- Chama cha Wananchi na hawajawahi kutoa Ushirikiano kwa CUF tangu muda huo na CUF iliamua kutowafukuza ili kudhibiti matumizi mabaya ya Kodi za Wananchi kwa ajili ya Chaguzi ndogo. CUF ni Chama cha Wananchi, kinatanguliza Maslahi ya Wananchi."

Eng. Mohamed Ngulangwa
Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma
CUF-Chama Cha Wananchi
mkubali tu kuwa akili kubwa Ally Salehe & co wamewapiga goli la kisigino.

fanbase yenu kwa sasa ni almost nonexistent, so hamtapata mbunge wala diwani wa kuchaguliwa hata 1... labda mpewe viti maalumu na hao wachumba zenu waliowatumia kusaliti upinzani.
 
Mumekosa Mikakati ya kuendesha Chama hata Katibu Mkuu bado hajachaguliwa, CUF itakufa baada ya Uchaguzi Mkuu 2020.
 
View attachment 1484343

"Wabunge hawa walishaamua kujitenga na CUF- Chama cha Wananchi na hawajawahi kutoa Ushirikiano kwa CUF tangu muda huo na CUF iliamua kutowafukuza ili kudhibiti matumizi mabaya ya Kodi za Wananchi kwa ajili ya Chaguzi ndogo. CUF ni Chama cha Wananchi, kinatanguliza Maslahi ya Wananchi."

Eng. Mohamed Ngulangwa
Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma
CUF-Chama Cha Wananchi
Another TLP loading........
 
View attachment 1484343

"Wabunge hawa walishaamua kujitenga na CUF- Chama cha Wananchi na hawajawahi kutoa Ushirikiano kwa CUF tangu muda huo na CUF iliamua kutowafukuza ili kudhibiti matumizi mabaya ya Kodi za Wananchi kwa ajili ya Chaguzi ndogo. CUF ni Chama cha Wananchi, kinatanguliza Maslahi ya Wananchi."

Eng. Mohamed Ngulangwa
Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma
CUF-Chama Cha Wananchi
So what?
 
View attachment 1484343

"Wabunge hawa walishaamua kujitenga na CUF- Chama cha Wananchi na hawajawahi kutoa Ushirikiano kwa CUF tangu muda huo na CUF iliamua kutowafukuza ili kudhibiti matumizi mabaya ya Kodi za Wananchi kwa ajili ya Chaguzi ndogo. CUF ni Chama cha Wananchi, kinatanguliza Maslahi ya Wananchi."

Eng. Mohamed Ngulangwa
Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma
CUF-Chama Cha Wananchi
Njaa zimewafanya mkiue chama hicho
 
View attachment 1484343

"Wabunge hawa walishaamua kujitenga na CUF- Chama cha Wananchi na hawajawahi kutoa Ushirikiano kwa CUF tangu muda huo na CUF iliamua kutowafukuza ili kudhibiti matumizi mabaya ya Kodi za Wananchi kwa ajili ya Chaguzi ndogo. CUF ni Chama cha Wananchi, kinatanguliza Maslahi ya Wananchi."

Eng. Mohamed Ngulangwa
Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma
CUF-Chama Cha Wananchi
Bila Wapemba hakuna CUF!
 
View attachment 1484343

"Wabunge hawa walishaamua kujitenga na CUF- Chama cha Wananchi na hawajawahi kutoa Ushirikiano kwa CUF tangu muda huo na CUF iliamua kutowafukuza ili kudhibiti matumizi mabaya ya Kodi za Wananchi kwa ajili ya Chaguzi ndogo. CUF ni Chama cha Wananchi, kinatanguliza Maslahi ya Wananchi."

Eng. Mohamed Ngulangwa
Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma
CUF-Chama Cha Wananchi
Uongo mwengine so waambiwe watoto? Wamekuwa wabunge wa CUF. Hawakufukuzwa kwani ingefanyika hivyo CUF ingekosa ruzuku
 
Hichi ndiyo kipaumbele cha CCM kuona vyama vya siasa vinakufa.

Profesa Lipumba hii dhambi haitokuacha salama.
 
View attachment 1484343

"Wabunge hawa walishaamua kujitenga na CUF- Chama cha Wananchi na hawajawahi kutoa Ushirikiano kwa CUF tangu muda huo na CUF iliamua kutowafukuza ili kudhibiti matumizi mabaya ya Kodi za Wananchi kwa ajili ya Chaguzi ndogo. CUF ni Chama cha Wananchi, kinatanguliza Maslahi ya Wananchi."

Eng. Mohamed Ngulangwa
Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma
CUF-Chama Cha Wananchi
C.U.F kwishney, mbendembende CCM wakishakutumia project ikimalizika hawakuthamini tena unakuwa big G
 
Back
Top Bottom