Che Guevara
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 1,236
- 349
Zanzibar pia ni rahisi kujitoa kwenye Muungano ,tatizo serikali zote mbili wanafadhiliana kukaa kwenye madaraka ,Mgombea kiti cha uraisi .CCM Tanganyika wanategemea Zanzibar na Mgombea Zanzibar anategemea CCM wa Tanganyika.
Ila siku upinzani ukishika madaraka na kuwatolea uvivu mafisadi ni lazima ikubalike kuwa kunahitajika ukarabati wa haraka wa Muungano au mkataba mpya la sivyo patagawanywa mbao.
Well said Mwiba.
Ni mpaka hapo CUF wakichukua madaraka ya Urais Zanzibar, (au hata Chadema Tanganyika) ndiyo muungano unaweza kuvunjika (By the way, haitakuwa kitu kibaya, kwani inaonekana kila upande unadhani unakosa haki kuwa ndani ya Muungano).
Hii ndio inafanya CCM kuendelea kung'ang'ania madaraka by hooks & crooks. CCM wa pande zote mbili wanategemeana kubakia madarakani. Si mnakumbuka isingekuwa CCM-Tanganyika ni Dk. Bilali ndiye angekuwa anayemalizia urais Zanzibar, siyo Bw. Karume?
Na CCM-Zanzibar ilimbeba sana Kikwete kwenye mchakato ndani ya CCM...
Yote yanayotokea nchini kwa sasa (na response ya Serikali ya Muungano) yanaleta tena questions about leadership capability ya Mkuu wa sasa...