Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,470
- 515
Najiuliza, hawa ndugu zetu waheshimiwa mbona hatuwasikii mkitetea wananchi wenu? Inawezekanaje mpaka leo tar 37 watu hawajalipwa na mmekaa kimya? au kwakuwa posho zenu zinaflow kama kawaida? na nyinyi Tucta ndo nini kukaa kimya? au kwakuwa watumishi wa umma ni laki tano tu? Mgimwa hajaona umuhimu wa kutoa statement, hata nyie? Tanzania bwana, ajabu kabisa.