Wizi wa Nchi hii ni syndicate Wala sio wa individuals.Mbunge wa CCM ameibua ufisadi na wizi unaofanyika nchini pale bungeni.
Ni muendelezo wa ufisadi chini ya utawala wa CCM.
Badala ya wabunge wenzake wa CCM kukemea huo wizi wao wakaishia kucheka na kupiga makofi.
Hili bunge letu kama tunataka bunge bora basi 2025 Watazania tufanye maamuzi magumu.
View attachment 2405610
Wahusi sio watu Jamaa wanakula hela tu bila hata kujali wanakung'uta sio kawaida Jamaa wanakagua wanaulizwa hakuna maelezo zinaingia zingine wanakula tena wanaulizwa hakuna wanachojibu zinaingia zingine wanakula tena, wanachokitafuta watakipataWizi wa Nchi hii ni syndicate Wala sio wa individuals.
hilo ni bunge au kikao cha mapoyoyo ya ccm majiz ya kura.Mbunge wa CCM ameibua ufisadi na wizi unaofanyika nchini pale bungeni.
Ni muendelezo wa ufisadi chini ya utawala wa CCM.
Badala ya wabunge wenzake wa CCM kukemea huo wizi wao wakaishia kucheka na kupiga makofi.
Hili bunge letu kama tunataka bunge bora basi 2025 Watazania tufanye maamuzi magumu.
View attachment 2405610
Walisha ruhusiwa kula kulingana na urefu wa kamba zao.Hii nooooma wahuni wanapiga hela sio kawaida alafu hata hawaulizwi pesa zinaingia wahuni wanapiga pesa zinaingia wahuni wanazipiga Tamesemi wapo tu, 10% zetu tunalipa kodi wahuni wanazila tu tena bila uoga bila hata kuzifanyia kazi za maana inauma saana naweza nikamtukana mtu hapa
UFISADI wa NCHI HII unaofanywa na Wanachama na Wafuasi wa CCMMbunge wa CCM ameibua ufisadi na wizi unaofanyika nchini pale bungeni.
Ni muendelezo wa ufisadi chini ya utawala wa CCM.
Badala ya wabunge wenzake wa CCM kukemea huo wizi wao wakaishia kucheka na kupiga makofi.
Hili bunge letu kama tunataka bunge bora basi 2025 Watazania tufanye maamuzi magumu.
View attachment 2405610
Wajiheshimu.Bila hivyo ni ubatili mtupu.Angalia usijekuitwa kwenye kamati ya maadili kama Pascal