Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MAJINGA HAYOOOMbunge wa CCM ameibua ufisadi na wizi unaofanyika nchini pale bungeni.
Ni muendelezo wa ufisadi chini ya utawala wa CCM.
Badala ya wabunge wenzake wa CCM kukemea huo wizi wao wakaishia kucheka na kupiga makofi.
Hili bunge letu kama tunataka bunge bora basi 2025 Watazania tufanye maamuzi magumu.
View attachment 2405610
Na VisimaWengine wanahoji pesa za sabodo kujenga ofisi zipo wapi?
Yule mwehu alitaka ccm tu ili wabadili katiba atawale milele! Kenge kbs!Jiwe aliliteka bunge
Hakuna wanachojua zaidi ya Kucheka na Kupiga Makofi.Mbunge wa CCM ameibua ufisadi na wizi unaofanyika nchini pale bungeni.
Ni muendelezo wa ufisadi chini ya utawala wa CCM.
Badala ya wabunge wenzake wa CCM kukemea huo wizi wao wakaishia kucheka na kupiga makofi.
Hili bunge letu kama tunataka bunge bora basi 2025 Watazania tufanye maamuzi magumu.
View attachment 2405610
Jiwe aliliteka bunge
Wakija huku mtaani wakati kuomba kura wanajifanya wana uchungu na rasilimali zetu.Mbunge wa CCM ameibua ufisadi na wizi unaofanyika nchini pale bungeni.
Ni muendelezo wa ufisadi chini ya utawala wa CCM.
Badala ya wabunge wenzake wa CCM kukemea huo wizi wao wakaishia kucheka na kupiga makofi.
Hili bunge letu kama tunataka bunge bora basi 2025 Watazania tufanye maamuzi magumu.
View attachment 2405610
Kuna dili moja la kifisadi likitiki tu nanunua nyumba tegeta hakika huu ndio wakati wa vijana kwenda kwa waganga kuosha nyota ili ukipanga dili la pesa ukimwendea muheshimiwa yeyote tu anakuelewaHii nooooma wahuni wanapiga hela sio kawaida alafu hata hawaulizwi pesa zinaingia wahuni wanapiga pesa zinaingia wahuni wanazipiga Tamesemi wapo tu, 10% zetu tunalipa kodi wahuni wanazila tu tena bila uoga bila hata kuzifanyia kazi za maana inauma saana naweza nikamtukana mtu hapa