Wabunge wa CCM badala ya kusikitika wao wanacheka tu

Wabunge wa CCM badala ya kusikitika wao wanacheka tu

Mbunge wa CCM ameibua ufisadi na wizi unaofanyika nchini pale bungeni.

Ni muendelezo wa ufisadi chini ya utawala wa CCM.

Badala ya wabunge wenzake wa CCM kukemea huo wizi wao wakaishia kucheka na kupiga makofi.

Hili bunge letu kama tunataka bunge bora basi 2025 Watazania tufanye maamuzi magumu.

View attachment 2405610
MAJINGA HAYOOO
 
Wengine wanahoji pesa za sabodo kujenga ofisi zipo wapi?
 
Hakuna bunge bali kikundi cha walaghai na mafisadi plus chawa pro.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hivi tunafanyeje sasaaaaaaaaa!!!!

Tatizo IPO kwenye mfumo.

Mamlaka ya Rais ni makubwa mno,

Kiongozi wetu anaelemewa,tumpunguzie madaraka tuunde mifumo imara ya kumsaidia kufanya KAZI na mifumo hiyo SIINGILIWE!!!

KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA irudi mezani mjadala uanzie hapo. Ameeen.
 
Mbunge wa CCM ameibua ufisadi na wizi unaofanyika nchini pale bungeni.

Ni muendelezo wa ufisadi chini ya utawala wa CCM.

Badala ya wabunge wenzake wa CCM kukemea huo wizi wao wakaishia kucheka na kupiga makofi.

Hili bunge letu kama tunataka bunge bora basi 2025 Watazania tufanye maamuzi magumu.

View attachment 2405610
Hakuna wanachojua zaidi ya Kucheka na Kupiga Makofi.
 
Mbunge wa CCM ameibua ufisadi na wizi unaofanyika nchini pale bungeni.

Ni muendelezo wa ufisadi chini ya utawala wa CCM.

Badala ya wabunge wenzake wa CCM kukemea huo wizi wao wakaishia kucheka na kupiga makofi.

Hili bunge letu kama tunataka bunge bora basi 2025 Watazania tufanye maamuzi magumu.

View attachment 2405610
Wakija huku mtaani wakati kuomba kura wanajifanya wana uchungu na rasilimali zetu.
 
Hii nooooma wahuni wanapiga hela sio kawaida alafu hata hawaulizwi pesa zinaingia wahuni wanapiga pesa zinaingia wahuni wanazipiga Tamesemi wapo tu, 10% zetu tunalipa kodi wahuni wanazila tu tena bila uoga bila hata kuzifanyia kazi za maana inauma saana naweza nikamtukana mtu hapa
Kuna dili moja la kifisadi likitiki tu nanunua nyumba tegeta hakika huu ndio wakati wa vijana kwenda kwa waganga kuosha nyota ili ukipanga dili la pesa ukimwendea muheshimiwa yeyote tu anakuelewa
 
Back
Top Bottom