Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM ni genge la matapeli tupuWaliompamba walipewa mlungula,kupata control number ya malipo Tanesco ni karne inapita.ukishalipia,kuunganishiwa subiri jirani na uchaguzi.Umeme ukiingia tu TOOZO hadi kupukuta vumbi kwenye nyaya.
Ni bora mtu akipata kuwa tu ajaze fomu ya Tanesco
Huo ndo ushahidi wako?CCM tunawajua vizuri sn
Wewe ni nani mpk nikupe ushahidi? shame on you, tulia kwa mumeoHuo ndo ushahidi wako?
Huo ndo ushahidi wako sio?Wewe ni nani mpk nikupe ushahidi? shame on you, tulia kwa mumeo
Hapo kwenye aina ya wachangiaji wote utaona ni idadi kubwa ya watumbuliwa wa JPM.Hivi kweli huyu Makamba ni wa kumpigia debe kwa kejeli namna hii? Eti inafikia hatua baadhi yenu mnadai sasa Msambaa kapewa zigo na amelifikisha hii ni kebehi kubwa.
Mpaka sasa nishati ya umeme ni tatizo hapa nchini. Maana kila siku ni umeme kukatika hovyo.
Tangu awe waziri ni harufu ya ufisadi na ujanja tu ndani ya hii wizara ya nishati. Ukarabati wa miundo mbinu usiokwisha na kandarasi za kijanja kijanja kama ya Mahindra Tech. Lakini hakuna tija kwa wananchi.
Inashangaza sana kuona wabunge mnasifia upuuzi huku wananchi wakiumia kwa kukosa nishati ya uhakika huku bwawa la JNHP likidorola kwa sababu za ajabu ambazo ni upigaji pesa wa kiroho usio na huruma kwa raia.
MagalasaHapo kwenye aina ya wachangiaji wote utaona ni idadi kubwa ya watumbuliwa wa JPM.
Wale wenye Facts za ukweli dhidi ya Tanesco wamenyimwa nafasi za uchangiaji.
Yataisha huku wanannchi wanaumia?Yataisha tu na tutamsahau huyo Febuari
Wananchi gani wanaumia na nini?Yataisha huku wanannchi wanaumia?
Hujazikwa tu chato bado?Hapo kwenye aina ya wachangiaji wote utaona ni idadi kubwa ya watumbuliwa wa JPM.
Wale wenye Facts za ukweli dhidi ya Tanesco wamenyimwa nafasi za uchangiaji.
Tupe ushahidi wa hizo hela zinazopigwaKwa ufupi ni kama wizara zote sasahivi ni hovyo sana huko Afya ndio usiseme watu wamepiga hela kinyama mpaka ummy bungeni ile figure ilimshinda kutaja ikabidi tulia amsaidie acha kabisaa
Silly question.Wananchi gani wanaumia na nini?
Viongozi waislamu kwenye hii nchi wote ni wahuni waliokubuu
Kwa kiwango hiki cha chuki kwa Makamba bila shaka wewe ni Mwanaharakati huru. Ukiendelea hivyo utakufa kwa sonona ndugu.Hivi kweli huyu Makamba ni wa kumpigia debe kwa kejeli namna hii? Eti inafikia hatua baadhi yenu mnadai sasa Msambaa kapewa zigo na amelifikisha hii ni kebehi kubwa.
Mpaka sasa nishati ya umeme ni tatizo hapa nchini. Maana kila siku ni umeme kukatika hovyo.
Tangu awe waziri ni harufu ya ufisadi na ujanja tu ndani ya hii wizara ya nishati. Ukarabati wa miundo mbinu usiokwisha na kandarasi za kijanja kijanja kama ya Mahindra Tech. Lakini hakuna tija kwa wananchi.
Inashangaza sana kuona wabunge mnasifia upuuzi huku wananchi wakiumia kwa kukosa nishati ya uhakika huku bwawa la JNHP likidorola kwa sababu za ajabu ambazo ni upigaji pesa wa kiroho usio na huruma kwa raia.
Taja jambo moja tu lililofanywa na Makamba likafanikiwa tokea awe waziri wa nishati?Hivi kweli huyu Makamba ni wa kumpigia debe kwa kejeli namna hii? Eti inafikia hatua baadhi yenu mnadai sasa Msambaa kapewa zigo na amelifikisha hii ni kebehi kubwa.
Mpaka sasa nishati ya umeme ni tatizo hapa nchini. Maana kila siku ni umeme kukatika hovyo.
Tangu awe waziri ni harufu ya ufisadi na ujanja tu ndani ya hii wizara ya nishati. Ukarabati wa miundo mbinu usiokwisha na kandarasi za kijanja kijanja kama ya Mahindra Tech. Lakini hakuna tija kwa wananchi.
Inashangaza sana kuona wabunge mnasifia upuuzi huku wananchi wakiumia kwa kukosa nishati ya uhakika huku bwawa la JNHP likidorola kwa sababu za ajabu ambazo ni upigaji pesa wa kiroho usio na huruma kwa raia.
Unafeli wewe au anafeli January?Hivi kweli huyu Makamba ni wa kumpigia debe kwa kejeli namna hii? Eti inafikia hatua baadhi yenu mnadai sasa Msambaa kapewa zigo na amelifikisha hii ni kebehi kubwa.
Mpaka sasa nishati ya umeme ni tatizo hapa nchini. Maana kila siku ni umeme kukatika hovyo.
Tangu awe waziri ni harufu ya ufisadi na ujanja tu ndani ya hii wizara ya nishati. Ukarabati wa miundo mbinu usiokwisha na kandarasi za kijanja kijanja kama ya Mahindra Tech. Lakini hakuna tija kwa wananchi.
Inashangaza sana kuona wabunge mnasifia upuuzi huku wananchi wakiumia kwa kukosa nishati ya uhakika huku bwawa la JNHP likidorola kwa sababu za ajabu ambazo ni upigaji pesa wa kiroho usio na huruma kwa raia.