Wabunge wa CCM kumpigia debe January Makamba kwa namna alivyofeli ni kuwakebehi na kuwadharau Watanzania

Wabunge wa CCM kumpigia debe January Makamba kwa namna alivyofeli ni kuwakebehi na kuwadharau Watanzania

Hivi kweli huyu Makamba ni wa kumpigia debe kwa kejeli namna hii? Eti inafikia hatua baadhi yenu mnadai sasa Msambaa kapewa zigo na amelifikisha hii ni kebehi kubwa.

Mpaka sasa nishati ya umeme ni tatizo hapa nchini. Maana kila siku ni umeme kukatika hovyo.

Tangu awe waziri ni harufu ya ufisadi na ujanja tu ndani ya hii wizara ya nishati. Ukarabati wa miundo mbinu usiokwisha na kandarasi za kijanja kijanja kama ya Mahindra Tech. Lakini hakuna tija kwa wananchi.

Inashangaza sana kuona wabunge mnasifia upuuzi huku wananchi wakiumia kwa kukosa nishati ya uhakika huku bwawa la JNHP likidorola kwa sababu za ajabu ambazo ni upigaji pesa wa kiroho usio na huruma kwa raia.
Acha roho mbaya; mlitaka Kalemani abaki ili mwendelee kuiba Sukuma Gang pumbaf kabisa
 
Back
Top Bottom