Black movement... Mbona unajib kama vile huijui CCM na serikali yake? Wabunge wa upinzani always mikataba mibovu hua wanapinga mpaka wanatolewa nje! Ukirud kweny Mahakama zote zipo under CCM voice, geshi ra porishi under CCM voice. Je unataka wapinzani wangefanya nn? Hata wakijitoa wauwawe unadhan mikataba ingesitishwa?