Wabunge wa CCM wanaojitambua wameamua kutoingia Bungeni kupitisha Azimio la kuuza Bandari; bunge lipo tupu

Chadema Leo kama ningekuwa mwanasiasa wenu ningechoma moto kuanzia kadi yenu Hadi magunia yenu ya kupitia mipunga huku Rukwa.
Mwanazuoni Pr Alexandre Mkumbo huyu mtu ana akili kubwa sana.amechambua vizuri sana
mashoga ndivyo mlivyo maana kazi yenu ni moja tu huko ccm na tunaijua au unataka niitaje.
 
Hiyo haisaidii walitakiwa kuja kupinga. Mtu akionewa na wewe ukakaa kimya maana yake umeungana na mwonevu
 
wataje majina hapa,acha uongo
 
Kuna mbunge kashikishwa msimbazi baaada ya kumaliza kuzungumza😂😂😂au sijui macho yamenidanganya!
 
Wabunge hawana data,hawana statistics.

Hawasemi kipi kinafaa,kipi kirekebishwe,wote wanaunga hoja.
 
Kama wali ingia bungeni kwa kuua na kuiba una tegemea wawe na uzalendo wa kuitetea nchi?
Hatuna bunge hapa. Tuna kikao cha wajumbe wa Ccm.
 
Ni bora kuuepuka laana,kuliko kuitafuta laana.Nikimjua aliyekataa Kuwa sehemu ya jambo hili atakuwa rafiki,ndugu na mzalendo mwenzetu wa taifa hili[emoji848]
Ilitakiwa wawepo ili wapinge hoja ndiyo watakua rafiki,ndugu na mzalendo wa kweli,Kama hawaoo bungeni ni wanafiki ili tuwaone wazalendo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…