Wabunge wa CHADEMA, Halima Mdee na Esther Bulaya wajisalimisha kwa nabii Suguye, Waombewa na kupakwa mafuta ya " Mpenyo"

Nilidhani hao kina mama ni makini kiasi. Nao kweli wanaingia kwenye kundi la wajinga ndio waliwao? Basi bhaana watarajia laana ya Mungu wa Mbinguni.
 
Wapakwe n mkongo utawasaidia sana
 
Chadema ipi?
 
Masahihisho : Halima Mdee , Ester Bulaya na mamluki wengine walionunuliwa si Wabunge wa Chadema .

Ni vema kuiheshimu Chadema ili kuepusha vurugu hapa mtandaoni tukaishia kuchafua amani .

Nakupa onyo la mwisho
Bwashee tusitishane!
 
Masahihisho : Halima Mdee , Ester Bulaya na mamluki wengine walionunuliwa si Wabunge wa Chadema .

Ni vema kuiheshimu Chadema ili kuepusha vurugu hapa mtandaoni tukaishia kuchafua amani .

Nakupa onyo la mwisho
Unampa onyo kama nani?,huu sio ndio uhuru wa kujieleza mnao upigania kila siku au na ww ushakuwa dikteta.

Hii ndio demokrasia mnayo ililia kila siku,moja ya attribute ya demokrasia ni uhuru wa kujieleza,sasa na kushangaza unavyo mpiga mkwala ,utazani unamiliki server za JF.
 
Kipa na mbele, yaani wewe ndiye kipa halafu unaanzisha mpira kisha unawahi fasta mbele kuomba pasi... dizaini yenu mpo wengi humu mwingine unakuta uzi kaanzisha yeye na comment ya kwanza kabisa yakwake
 
Uhuru wa habari si ujitungie uongo
 
Reactions: PNC
Uhuru wa habari si ujitungie uongo
Uongo upi ? ndio uhuru wenyewe,hata wewe ulishiriki kusambaza habari Magu alipelekwa Kenya kutibiwa,wakati ulikuwa uwongo,Lowasa kumwita fisadi kwa miaka mitano kumbe ulikuwa uwongo,Msigwa kusema meli ya Kinana ilikuwa na bangi kumbe huu nao ulikuwa uwongo.

So kuwa mvumilivu ndio uhuru ambao hata wewe na viongozi wenu mnau-practice kuanzia humu JF mpaka social media nyingine na si kuanza kuwapiga mikwara watu so vumilia.
 
Mdee si mara ya kwanza kwenda pale ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…