displayname
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,972
- 1,085
Nipo home nimejipa "Self isolation" kwa ivo kuwa hapa JF ndiyo kazi yenyewe niliyo nayo!!Sasa inakuhusu nini wewe? Fanyakazi mkuu. Pilipili usizozila za kuwasha nini?
Mtihani gani mugumu wakati watz wanachapakazi tu! Au wewe umejilockdown? Wabunge waoga hao kama wapigakura wao hawaogopi wanapigakazi wao wajifungia ndani.Safi sana CDM ni dharau zidi ya watanzania kujadilia budget wakati watu wapo kwenye mtihani mgumu wa kupambana afya na uhai wao.
Intelijensia ya kidiplomasia ktk siasa inaitwa ; to hijack the situation. You grab before it becomes obvious. Viewing or forecasting?
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali wewe kazi yako ni kwenye JF. Basi ngoja sisi tuchapekazi ili tupate chakula tusije kufa na njaa mkuu.Nipo home nimejipa "Self isolation" kwa ivo kuwa hapa JF ndiyo kazi yenyewe niliyo nayo!!
Mwambieni bwana wenu Magufuli atoke huko mafichoni wajinga ninyi, kila anachosema mnashabikia tu bila kuhoji kama misukuleWakae nyumbani tu, as kodi zetu zinawapa kiburi hicho.
Ila watambue kwamba, wananchi hawajawachagua ili wakakae nyumbani, waliwachagua ili wakawawakilishe bungeni.
Kwa ivo kumbe kuwa kwako hapa JF huwa unatega kazi!!??Afadhali wewe kazi yako ni kwenye JF. Basi ngoja sisi tuchapekazi ili tupate chakula tusije kufa na njaa mkuu.
Si rahisi kiasi hicho!!Ndugai kapata sababu ya kuwatimua bungeni
kabisa hao wataondoka kmya kmyaWamechelewa saana!! Au ni Ile ngoja Kwanza tuone!! Sasa kimeonekana kilichokuwa kikiwasubirisha kuwa ni cha moto, na wengine wote watasambaratika tu, mbaya kabisa wao watasahau hata kuaga!! Subiri muone!!!
Ok lkn naona iwe busara wamjulishe hata kwa barua spika asije akawatimua Kama lissu na nassariSi rahisi kiasi hicho!!
Mpwa kwema? Nipe maoni yako kuhusu hali ilivyo hadi sasa.Wasipwe mshahara
Huu ni mkutano wa mwisho na ili utimuliwe ni lazima uwe umekosa mikutano mtatu mfululizo (siyo vikao).Ok lkn naona iwe busara wamjulishe hata kwa barua spika asije akawatimua Kama lissu na nassari
Wanaumwa wote wa Chadema lakini wanao kufa (wote)ni wa CCM!?Tetesi nilizopata ni kuwa wabunge wote Wa chadema wanaumwa corona wanaji lock down wajifukizie
Kulinganisha na wabunge wa ccm.Bora wao ukilinganisha na nani ?,
Ni nani kasema kunafuta kosa la awali? au unajitungia tu?Kuzinduka kwao sasa hizi hakufuti makosa waliyofanya mwanzo...,
Umesha jijibu hapa... soma tena maandishi yako...ingawa naweza kusema tayari its late if not too late...
(ndio maana nikasema better late than never)