Wabunge wa CHADEMA wakubaliana kutohudhuria tena vikao vya Bunge kutokana na janga la COVID-9, Kujiweka Karantini kwa wiki 2

Ni katika kuishiwa hoja na kukosa mvuto,wameamua kutumia excuse ya corona
Mwisho wa mwezi Mugabe anawadai michango kwa chama
Ni vizuri walivyoamua kujipunguza
 
Kama wabunge wataiga huo msimamo itakuwa ni historia ya pekee
Issue sio kuigana anayeona corona hatari kwake aji lock down mwenyewe na asianze kupiga tarumbeta za ohhh niigeni mimi !!! Wewe ji lock down wengine achana nao

Wewe ji lock down mwenyewe kaa huko.huko hadi usikie corona imeisha duniani ndio utoke
 
Bora kunguru anaye jali UHAI WA WATANZANIA kuliko binadamu anayejali tumbo na pesa na kuweka uhai wa WATANZANIA hatarini.
Uhai wa Watz wakati wamewakimbia? Sisi tuko kazini wao wamejifungia ndani. Nilitegemea watoke nje wawasaidie wapigakura wao.
 
Hii imekaaje wadau? je wabunge wengine wataiga mfano huu?
COVID19 inaenda kutuletea aina mpya ya siasa.
 
Kuna taarifa kuwa wabunge wa CHADEMA ambao wametangaza kuhamia NCCR mageuzi waheshimiwa Komu na Selasini wataungana na Mwenyekiti wao mpya Mhe. James Mbatia kuendelea na vikao vya bunge.

Wabunge hao wamesema kwa sasa hawako chini ya KUB Mbowe hivyo hawahusiki na maagizo yake.

Inasemekana kuwa hata Kubenea, Mwakajonga na Silinde wataendelea kupambana na Corona wakiwa ndani ya bunge na hawatajiweka katika karantini ya CHADEMA.

Maendeleo hayana vyama!
 
Tumeshasema hakuna lockdown

Wewe ni mjinga nani Amekuambia kuzuia muingiliano wa watu ni Ku lockdown tu? nyie ndio mnampotosha Rais na serikali,kuna maeneo ambayo serikali inatakiwa kuzuia raia wasiende kwa muda sehemu zenye watu wengi, safari za mikoani ni za kufuta kwa muda huku serikali inaangalia hali yaw hewa,.

watu hawatakiwi kutoka nje bila kuvaa masks au familia iaweza dedicate mtu mmoja kuwa anawaletea mahitaji yao,pia kuzua watu au ndugu kutembeleana ,kila mtu akae kwake, kampuni zinaweza kuwapatia wafanyakazi likizo ya muda na kubakiwa na wafanya kazi wachache kuzuia maambukizi ya watu wengi.
 
Vita ni vita tu,

Hii nayo ni vita, inapaswa waache kujiita makamanda na kuvaa magwanda kwakua vita hawaviwezi hawa, kwenye amani wanajiita makamanda vita ikija wanakimbia uvunguni mwa kitanda, haha, makamanda uchwara wa chadema.
Sawa ni vita, lakini unapopambana na unayemwona mbinu ni tofauti kabisa na unapopambana corona isyoonekana kwa macho mpaka mtu apimwe.
Nakubali niwe kamanda uchwara nisalimishe uhai wangu kuliko kuwa shujaa nife kipumbavu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhai wa Watz wakati wamewakimbia?
Je unamsemeaje rais wa nchi aliye itelekeza nchi wakati wa majanga? Huyu ndiye aliye wakimbia wananchi na ameonyesha kuto wajali wakati wa matatizo.
Sisi tuko kazini wao wamejifungia ndani.
Sisi tuko kazini na RAIS WETU kajifungia chattle.

Nilitegemea watoke nje wawasaidie wapigakura wao.
Nilitegemea rais awe mstari wa mbele katika kupambana na janga linaloikabili nchi ila inasikitisha kuona kaikimbia mpaka ikulu na kwenda kujifungia chattle!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…