Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 308
Nimeona kwenye list ya wagombea wa CCM kuna wagombea kadhaa ambao elimu yao ni shule ya msingi, swali langu je hawa wakiwa kwenye kamati za bunge wataweza kutusaidia? Mfano mikataba karibu yote imeandikwa kwa kiingereza, na majarida mengi ya kitaalam pia yapo kwa kimombo je hawa watatoa michango gani kama hawataweza kuelewa kilichoandikwa??
- Jah People - Njombe Kaskazini
- Jamal Tamimu - Muhambwe
- Lameck Airo - Rorya
- Luckson Mwajale - Mbeya Vijijini
- Hussein Amar - Nyang'wale
- ........
- ........
Mkuu huyu niliye bold ni mbunge?
Nimeona kwenye list ya wagombea wa CCM kuna wagombea kadhaa ambao elimu yao ni shule ya msingi, swali langu je hawa wakiwa kwenye kamati za bunge wataweza kutusaidia? Mfano mikataba karibu yote imeandikwa kwa kiingereza, na majarida mengi ya kitaalam pia yapo kwa kimombo je hawa watatoa michango gani kama hawataweza kuelewa kilichoandikwa??
- Jah People - Njombe Kaskazini
- Jamal Tamimu - Muhambwe
- Lameck Airo - Rorya
- Luckson Mwajale - Mbeya Vijijini
- Hussein Amar - Nyang'wale
- ........
- ........
Nimeona kwenye list ya wagombea wa CCM kuna wagombea kadhaa ambao elimu yao ni shule ya msingi, swali langu je hawa wakiwa kwenye kamati za bunge wataweza kutusaidia? Mfano mikataba karibu yote imeandikwa kwa kiingereza, na majarida mengi ya kitaalam pia yapo kwa kimombo je hawa watatoa michango gani kama hawataweza kuelewa kilichoandikwa??
- Jah People - Njombe Kaskazini
- Jamal Tamimu - Muhambwe
- Lameck Airo - Rorya
- Luckson Mwajale - Mbeya Vijijini
- Hussein Amar - Nyang'wale
- ........
- ........
Nimeona kwenye list ya wagombea wa CCM kuna wagombea kadhaa ambao elimu yao ni shule ya msingi, swali langu je hawa wakiwa kwenye kamati za bunge wataweza kutusaidia? Mfano mikataba karibu yote imeandikwa kwa kiingereza, na majarida mengi ya kitaalam pia yapo kwa kimombo je hawa watatoa michango gani kama hawataweza kuelewa kilichoandikwa??
- Jah People - Njombe Kaskazini
- Jamal Tamimu - Muhambwe
- Lameck Airo - Rorya
- Luckson Mwajale - Mbeya Vijijini
- Hussein Amar - Nyang'wale
- ........
- ........
Lameck Airo ndiyo huyu jamaa mwenye LAKAIRO HOTELS - ZOO? Kama ndiye nasikia sasa kaweka mwalimu w kumfundisha kiingeleza
John MAJOR alimaliza O-Level peke yake lakini aliweza kuongoza taifa kubwa kama Uingereza:John Major - Wikipedia, the free encyclopedia
Waweza kukuta hao jamaa wa darasa la saba wanamapenzi makubwa na nchi kuliko wasomi waliobobea na wala rushwa wakubwa...kipi bora? Kuwa na msomi mwizi au kuwa na darasa la saba mwenye moyo na mapenzi ya maendeleo ya wanajimbo na nchi yake? what is your take?
O level ya uingereza na la saba wa Tanzania...:sleepy::sleepy:.... sipati picha, hilo bunge litakuwa la ma mbumbumbu.... Majambazi..... wahuni..... :ballchain:
Rostam Azizi huwa anachangia nini?
Lameck Airo ndiyo huyu jamaa mwenye LAKAIRO HOTELS - ZOO? Kama ndiye nasikia sasa kaweka mwalimu w kumfundisha kiingeleza