Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
Common guys! Elimu na uongozi haziendani! Angalieni wasomi wetu wasivyokuwa na uadilifu.
Mrema Lyatonga alikuwa waziri wa mambo ya ndani na kila mtu aliona mchango wake! Alikuwa na degree ngapi hebu waacheni wafanye mambo wapimeni baada ya miaka 5.
John Major hakuwa na elimu kabisa, lakini alikuwa kiongozi wa conservative 1990-7 na waziri mkuu wa UK. Maprof wetu na maPhD wameifanyia nini Tanzania......Chenge?
Mrema Lyatonga alikuwa waziri wa mambo ya ndani na kila mtu aliona mchango wake! Alikuwa na degree ngapi hebu waacheni wafanye mambo wapimeni baada ya miaka 5.
John Major hakuwa na elimu kabisa, lakini alikuwa kiongozi wa conservative 1990-7 na waziri mkuu wa UK. Maprof wetu na maPhD wameifanyia nini Tanzania......Chenge?