Yaani wasingemchukua Lowasa Chadema ingeweza shinda hata uraisi sababu Lowasa alikuwa mtego CCM wangempitisha Watu wangempigia kura mgombea wa Chadema wakiwemo wana CCM sababu walikuwa hawamtaki kwa kuwa ni fisadi.Hivyo Chadema ingeshinda uraisi.Walipomchukua Lowasa wakajimaliza wenyewe kura zikaenda CCM.Chadema ilikuwa imeshajijenga vya kutosha bila Lowasa ilitakiwa isivuruge last minute ingemuweka Slaa hata Mbowe au yeyote Ila sio Lowasa.Chadema ilikufa pale ilipobadiri gia angani na kumchukua LOWASA hili kosa limekigharimu chama hadi kinakufa
Sijakuelewa hapo nduguPoor you!
Ni "Jiwe" ndio liability kwa nchi na maendeleo ya nchi yako kwa ujumla kwani tunateketeza kodi kurudia chaguzi huku hospitali hazina hata madawa, nchi imejaa madeni, n.k,
Isitoshe, mkakati huu hauisadi CCM kwasababu wanaohama ni mercenaries na sio wananchi (wapiga kura).
Kwa ujinga wenu ,ndio maana hata kwenye makinikia wanaume waliwajaza vitumbo
Poor you!
Ni "Jiwe" ndio liability kwa nchi na maendeleo ya nchi yako kwa ujumla kwani tunateketeza kodi kurudia chaguzi huku hospitali hazina hata madawa, nchi imejaa madeni, n.k,
Isitoshe, mkakati huu hauisadi CCM kwasababu wanaohama ni mercenaries na sio wananchi (wapiga kura).
Kwa ujinga wenu ,ndio maana hata kwenye makinikia wanaume waliwajaza vitumbo
Yaani wasingemchukua Lowasa Chadema ingeweza shinda hata uraisi sababu Lowasa alikuwa mtego CCM wangempitisha Watu wangempigia kura mgombea wa Chadema wakiwemo wana CCM sababu walikuwa hawamtaki kwa kuwa ni fisadi.Hivyo Chadema ingeshinda uraisi.Walipomchukua Lowasa wakajimaliza wenyewe kura zikaenda CCM.Chadema ilikuwa imeshajijenga vya kutosha Bila Lowasa ilitakiwa isivuruge last minute ingemuweka Slaa hata Mbowe au yeyote Ila sio Lowasa.
Leo utasema Chadema hawajielewi,jana CUF ya Seif imehujumiwa na nani?Chadema hawajielewi..period!
Lowassa si alisema anakuja Na wabunge sijui 50!! Kipindi kile walipohamia chadema mliwaona malaika Leo wanarudi CCm mnawaona mashetani !! Hahahaaaaa!! Shame on you!!Kwenu Barababa,viwanda,ndege,reli ya kisasa nk siyo vya msingi!! ??? Eti Uhuru ( kana kwamba mmetekwa ) haki ( sijui haki ya kufanya au kuongea matusi) ndiyo vya msingi huko chadema!!! Hahahaa!! Nyumbani kwako ( chadema hakuna Uhuru Na haki) maana ukiutaka uenyekiti sijui ukahoji matumizi ya ruzuku unatishiwa( according to Zitto ,wangwe,Waitara nk)!!
Jo naona unateseka sana na CHADEMA... Ila kumbuka hili ni chama la wana.. Halifi kesho wala keshokutwa.. Litadumu miaka 1000Kwa namna mambo yanavyoendelea ndani ya Chadema ni waxi Lowassa hakuwa asset bali liability kwenye chama
Lowassa kaondoka si na wabunge wake tu akina Karanga na Dr Mollel bali hata akina Selasini na Lwakatsre aliowakuta Chadema
Hakika Dr wa ukweli uliona mbali
Maendeleo hayana vyama!
Ila mkuu ni bora mtawaliwe na waguni wenye kujielewa kuliko majizi na matepeliKikundi cha wahuni kilichoamua kuwa chama
Hahahaaaa....... Lumumba kuna vituko bwashee!Kakune Nazi Sasa View attachment 1463732
Bwashee naona mnagombaniwa kama mpira wa kona!Jo naona unateseka sana na CHADEMA... Ila kumbuka hili ni chama la wana.. Halifi kesho wala keshokutwa.. Litadumu miaka 1000View attachment 1463733
Jr[emoji769]
Mkuu huu mwelekeo wako kama mtu alikushauri basi atakua kakupoteza,achana na ao watu rinda heshima yakoJo naona unateseka sana na CHADEMA... Ila kumbuka hili ni chama la wana.. Halifi kesho wala keshokutwa.. Litadumu miaka 1000View attachment 1463733
Jr[emoji769]
Hahaaaaa..!!Mkuu huu mwelekeo wako kama mtu alikushauri basi atakua kakupoteza,achana na ao watu rinda heshima yako
Unajua hayo maneno "Asset" na "liability" yalikuwa na uthamani wakati gani?Kwa namna mambo yanavyoendelea ndani ya Chadema ni wazi Lowassa hakuwa asset bali liability kwenye chama
Lowassa kaondoka si na wabunge wake tu akina Karanga na Dr Mollel bali hata akina Selasini na Lwakatare aliowakuta Chadema
Hakika Dr wa ukweli uliona mbali
Maendeleo hayana vyama!