Mzindakaya amekuwa mbunge miaka nenda miaka rudi na hakuna cha maana alichofanya zaidi ya ufisadi. Ni wakati muafaka kuwaondoa madarakani watu kama hawa na kuwa na damu changa zenye uchu wa kuleta maendeleo mkoani Rukwa.
Watu wa Kwera mpigeni chini mzindakaya 2010.