Wabunge wa Tabora wamvaa Januari Makamba tatizo la umeme

Wabunge wa Tabora wamvaa Januari Makamba tatizo la umeme

juma30

Senior Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
159
Reaction score
459
Mbunge wa Tabora Mjini, Emmanuel Mwakasaka amesema pamoja na mambo yote yanayofanywa na Wizara ya Nishati lakini wananchi wa Tabora wanataka umeme. "tuongeee yote wanataka kuona umeme ni umeme ni umeme

Naye Mbunge wa Urambo, Margareth Sitta amesema nishati ya umeme kwa wananchi ni uchumi na ni maendeleo ya kijamii kwa hiyo inapotokea changamoto ya umeme inakuwa changamoto kweli kweli.

"Nishati ya umeme kwetu sisi wananchi wa urambo inatusaidia kijamii na kiuchumi pia kwa hiyo inapokuwa changamoto inakuwa kweli changamoto" Mama Sitta

Wabunge hao wamefikisha malalamiko hayo wakazi Waziri wa Nishati alipofika Tabora kuendelea na ziara yake.

CHANZO: TBC DIRA YA MCHANA

 
Magreth Sitta atuambie kwanza Mumewe amekuwa waziri, Spika wa Bunge na Mbunge kwa akribu miaka 20 Je alishindwa nini kwa wakati huo kuishawishi serikali kupeleka umeme Huko?
 
Mbunge wa Tabora Mjini, Emmanuel Mwakasaka amesema pamoja na mambo yote yanayofanywa na Wizara ya Nishati lakini wananchi wa Tabora wanataka umeme. "tuongeee yote wanataka kuona umeme ni umeme ni umeme

Naye Mbunge wa Urambo, Margareth Sitta amesema nishati ya umeme kwa wananchi ni uchumi na ni maendeleo ya kijamii kwa hiyo inapotokea changamoto ya umeme inakuwa changamoto kweli kweli.

"Nishati ya umeme kwetu sisi wananchi wa urambo inatusaidia kijamii na kiuchumi pia kwa hiyo inapokuwa changamoto inakuwa kweli changamoto" Mama Sitta

Wabunge hao wamefikisha malalamiko hayo wakazi Waziri wa Nishati alipofika Tabora kuendelea na ziara yake.

CHANZO: TBC DIRA YA MCHANA


Mbona hawajitokezi mojawapo aseme ateuliwe yeye Ili tuone kama umeme haukatiki..

Umeme unakatika Marekani sembuse Tanzania.
 
Magreth Sitta atuambie kwanza Mumewe amekuwa waziri, Spika wa Bunge na Mbunge kwa akribu miaka 20 Je alishindwa nini kwa wakati huo kuishawishi serikali kupeleka umeme Huko?
Wacha Personal attack zisizo na tija na badala yake ungejenga hoja ya ni kwa nini Samia amepandisha gharama za kuunganisha umeme vijijini REA.

Iliwezekana vipi kwa Magufuli bila tozo na inashindikana vipi kwa Samia tena kwa tozo na mikopo lukuki?
 
Mbona hawajitokezi mojawapo aseme ateuliwe yeye Ili tuone kama umeme haukatiki..

Umeme unakatika Marekani sembuse Tanzania.
Marekani ya Uyui Tabora au unaongelea Marekani ya Biden?

Iliwezekana vipi kwa magufuli bila tozo na inashindikana vipi kwa Samia na tozo lukuki?

Jaribu kufikiri nje ya boksi la kijani.
IMG-20220723-WA0003.jpg
 
Mbona hawajitokezi mojawapo aseme ateuliwe yeye Ili tuone kama umeme haukatiki..

Umeme unakatika Marekani sembuse Tanzania.
Kwamba wananchi wazoee kukatika umeme sababu ni jambo la kawaida duniani kote.

Makamba na Mwigulu wafukuzwe tutafute tija Zaid ktk maeneo hayo muhimu, Si Kwa ubaya.
 
Ni bora Hamisi Kigwangala apewe hiyo Wizara ili Wanyamwezi wamkubali.
 
Back
Top Bottom