Binti Abdullah
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 653
- 538
Rais Samia ni mtu mwenye huruma nami nakubaliana naye kabisa. Wanaomuogopa Rais Samia ukiwafuatilia kwa makini utagunduza kuwa ni watenda maovu na wanashikwa na uwoga kutokana na uovu wanaoutenda.Rais Samia amefanya mambo makubwa mazuri kwa muda mfupi wa utawala wake.
Chama chini ya Rais Samia kipo busy kujenga Nchi ila vyama vingine vinashindana kuhutubia Facebook.Rais Samia ni mtu mwenye huruma nami nakubaliana naye kabisa. Wanaomuogopa Rais Samia ukiwafuatilia kwa makini utagunduza kuwa ni watenda maovu na wanashikwa na uwoga kutokana na uovu wanaoutenda.
Tunapenda Rais Samia asipate changamoto kubwa katika kupambana na CHADEMA pamoja na wanasiasa wengine uchwaraChama chini ya Rais Samia kipo busy kujenga Nchi ila vyama vingine vinashindana kuhutubia Facebook.
Hivi unajua kuwa samia ni Rais bora africa kwa sasa?Rais Samia ni mtu mwenye huruma nami nakubaliana naye kabisa. Wanaomuogopa Rais Samia ukiwafuatilia kwa makini utagunduza kuwa ni watenda maovu na wanashikwa na uwoga kutokana na uovu wanaoutenda.
Samia anatutea Waafrica dhidi ya uonevu wa mabeberuTunapenda Rais Samia asipate changamoto kubwa katika kupambana na CHADEMA pamoja na wanasiasa wengine uchwara
Mafisadi wana hofu ya kushindwa na Samia. Wanajua Samia lazima awashughulikie ndio maana hawataki wapambane nayeSamia anatutea Waafrica dhidi ya uonevu wa mabeberu
kuna watu wachache wanamtukana Rais Samia Dawa yao inachemka. Tutahakikisha wanalia na kusaga menoMafisadi wana hofu ya kushindwa na Samia. Wanajua Samia lazima awashughulikie ndio maana hawataki wapambane naye
Vijana kama sisi ndio wazalendo Tumpe muda Rais Samia afanye mambo makubwakuna watu wachache wanamtukana Rais Samia Dawa yao inachemka. Tutahakikisha wanalia na kusaga meno
Rais Samia anafanya mambo makubwa sana huyu mama. CCM oooyeeeeeVijana kama sisi ndio wazalendo Tumpe muda Rais Samia afanye mambo makubwa
Nimeona na daraja letu la kigamboni,hongera SamiaRais Samia anafanya mambo makubwa sana huyu mama. CCM oooyeeeee
Rais Samia amefungua balozi mpya katika nchi 8 ikiwemo Israel, Mungu ambariki sanaNimeona na daraja letu la kigamboni,hongera Samia
Rais Samia amefanya maamuzi sahihi sana kukutana na bilionea dangoteRais Samia amefungua balozi mpya katika nchi 8 ikiwemo Israel, Mungu ambariki sana
Rais Samia ni mtu mwema na yupo makini sanaRais Samia amefanya maamuzi sahihi sana kukutana na bilionea dangote
Rais wetu mama Samia wewe ndiye tunayekutegemea kutufikisha nchi ya ahadiRais Samia ni mtu mwema na yupo makini sana
Rais Samia anafaa aongezewe muda mpaka 2030 kwa maana anafanya mambo makubwa sanaRais wetu mama Samia wewe ndiye tunayekutegemea kutufikisha nchi ya ahadi
Kama Mzee wa Chadema anamkubali Rais Samia kijana wa Ufipa anabwabwaja ili iweje?Rais Samia anafaa aongezewe muda mpaka 2030 kwa maana anafanya mambo makubwa sana
Mbowe na Mnyika wana hofu ya kushindwa na Samia Wanajua Samia lazima ashinde wezi na mafisadi woteKama Mzee wa Chadema anamkubali Rais Samia kijana wa Ufipa anabwabwaja ili iweje?
Kufikia October Rais Samia na JPM walifikia 98% ya ushindi wao hata kabla ya upigaji wa kura kuanzaMbowe na Mnyika wana hofu ya kushindwa na Samia Wanajua Samia lazima ashinde wezi na mafisadi wote
Mbona Rais Samia anatoa elimu bure ? Waambieni Chadema kazi yao ni kununua sare tu ada wanalipiwa na SamiaKufikia October Rais Samia na JPM walifikia 98% ya ushindi wao hata kabla ya upigaji wa kura kuanza
Tunamsubiri Malikia wa Uingereza naye aje kumsalimia Rais Samia na WatanzaniaMbona Rais Samia anatoa elimu bure ? Waambieni Chadema kazi yao ni kununua sare tu ada wanalipiwa na Samia