Ibra Mo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 793
- 102
We pia hujanielewa aliyetuma post anataka vyama vya upinzani vimsapoti Kilango mie nilichosema nikwamba ivyo vyama haviwez coz haviingii kwenye kumteua huyo atakayegombea uspika ktk Bunge la Jamuhuri so wakutuletea Mtu safi kama atatokea na wa upinzani wa kucompete nae ni hao ccm wenyewe.Hata kama kwani hujui kansa iliyopo ccm? ufa uliopo hauwezi kuzibika kamwe hata wafanye nini, labda mafisadi wajiondoe huko. Kumbuka kuwa kuna wazalendo wa kweli na hilo genge lingine linaloongozwa na mwenyeki wao.