Wabunge wa Urusi waishutumu ukraine kutumia wanajeshi waliotengenezwa maabara na Marekani

Wabunge wa Urusi waishutumu ukraine kutumia wanajeshi waliotengenezwa maabara na Marekani

Mkuu, hakuna kitu kama hicho -hizo ni propaganda za Serikali ya Ukraine ikishirikiana na mashirika ya kijasusi ya Merikani na Uingereza hii inatokana na kuona Ukraine imeanza kulemewa vita, hipo karibu kushindwa,ndio maana Zelensky anawatimua kazi watu ambao ni muhimu kwenye vita hii, kuchanganyikiwa kwake ndio kunamfanya hasiwe na imani na watu wake wa karibu Serikalini.

Now, back to the main point - kama nilivyo sema hapo mwanzo, taarifa hizi za kudai kwamba jeshi la Ukraine linatumia Superhuman, siju robot kupigana vita, taarifa hizo hazina ukweli wowote zimebuniwa na Serikali ya Ukraine na mashirika ya kijasusi ya Serikali za magharibi ndio wanao sambaza taarifa hizi potofu zenye lengo la kuwatia hofu wanajeshi potential wa Urusi ili waogope kupigana vita, watoroke vitani na kukataa kujiunga na jeshi la Russia, as I said, lengo kuu za taarifa hizi ni to gross misinform public and Russian armed forces by creating fear - actually hizi ni childish tactics za kivita, cha ajabu kuna baadhi ya wanadamu wana hadaahika kirahisi sana,wanafikiri zina ukweli!!
usibishane na teknolojia.. lolote linaweza kutokea katika ulimwengu huu wa teknolojia.. usiseme hizo ni propaganda hao watu weupe wako mbali sana kiteknolojia
 
Utetezi dhaifu waseme wamwambie Putin malengo yake sisawa athitishe vita
 
Captain america, winter soldier na drugs za serum na compound V kutengeneza supersoldiers.
Hayo mambo yapo kwenye science fiction movies na tv series, naona ukraine na zelenskyy wanaanza kuhalusinate na kuchanganyikiwa sababu ya kipigo takatifu mpaka wanaanza kuwavutisha bangi na kuwachoma madawa jeshi lao kwa lazima ili wasikimbie vita. na kidogo nisahau kuwa zelenskyy ni muigizaji.

Ni propaganda sababu hakuna kitu kama supersoldiers na russia wametumia hii propaganda vizuri kama bait ili kuilaumu ukraine na usa kwa unyanyasaji, ukatili na uvunjifu wa haki za binadamu.
Hiyo ndiyo point ninayoiona hapa.
div 0 haiez jificha ,yaan wabunge wa urusi waongee lawama umpe Zele
 
Captain america, winter soldier na drugs za serum na compound V kutengeneza supersoldiers.
Hayo mambo yapo kwenye science fiction movies na tv series, naona ukraine na zelenskyy wanaanza kuhalusinate na kuchanganyikiwa sababu ya kipigo takatifu mpaka wanaanza kuwavutisha bangi na kuwachoma madawa jeshi lao kwa lazima ili wasikimbie vita. na kidogo nisahau kuwa zelenskyy ni muigizaji.

Ni propaganda sababu hakuna kitu kama supersoldiers na russia wametumia hii propaganda vizuri kama bait ili kuilaumu ukraine na usa kwa unyanyasaji, ukatili na uvunjifu wa haki za binadamu.
Hiyo ndiyo point ninayoiona hapa.
Kwani mkuu haiwezekani kutengeneza super human?
Kama wanaweza kumodify genes za ng'ombe wa kienyeji na kumfanya awe na maziwa mengi na nyama nyingi (wa kizungu).
Wanashindwaje kumfanya binadamu awe na stamina kubwa na Akili nyingi?
 
Imekaaje hii mbona sielewi chief
Best, hapa watunga Sera wa Klemlin wana-justfy hoja yao kuwa waale wanajeshi wa Ukraine ni binadamu walioboreshwa kwasabau zifuatazo:
Miili yao/damu zao inaonekana kuwa na vimelea vya magonjwa kama Hepatitis B pamoja na madawa ya kuongeza nguvu; pia wanaonekana kuwa na ukatili wa juu hivyo kuashiria kuwa wametolewa ufahamu na huruma za kawaida na kuashiria pia kuwa haya yalifanywa kwenye maabara za kibaolojia zilizokuwa zinasimamiwa na Marekani
 
Kwani mkuu haiwezekani kutengeneza super human?
Kama wanaweza kumodify genes za ng'ombe wa kienyeji na kumfanya awe na maziwa mengi na nyama nyingi (wa kizungu).
Wanashindwaje kumfanya binadamu awe na stamina kubwa na Akili nyingi?
Hiyo kitu bado not deployed kirahis hivyo. Hiyo ni excuse ya viongoz wa russia.
Man anaweza kuwa ruthless if you provoke them at their home.. they will give their all.

Kuna tofauti kubwa ya kupigana na mtu ambae yuko kwake ww ndio mvamizi
 
Back
Top Bottom