Newzealand360
Member
- Aug 10, 2022
- 88
- 122
Ni kitu kile kile propagation ambazo zimeshambazwa, zilifikie Duma. Wabunge walalamike kuwa askari wa Russia wanapigana na mashine(robots).Mbona unatuchanganyia mafaili mkuu? Taarifa ni ya Wabunge wa Urusi au ni Taarifa iliyobuniwa na Ukraine? Hebu nyoosha maelezo plz.
๐๐๐Hali thio ndhuri๐๐๐Mbona unatuchanganyia mafaili mkuu? Taarifa ni ya Wabunge wa Urusi au ni Taarifa iliyobuniwa na Ukraine? Hebu nyoosha maelezo plz.
usibishane na teknolojia.. lolote linaweza kutokea katika ulimwengu huu wa teknolojia.. usiseme hizo ni propaganda hao watu weupe wako mbali sana kiteknolojiaMkuu, hakuna kitu kama hicho -hizo ni propaganda za Serikali ya Ukraine ikishirikiana na mashirika ya kijasusi ya Merikani na Uingereza hii inatokana na kuona Ukraine imeanza kulemewa vita, hipo karibu kushindwa,ndio maana Zelensky anawatimua kazi watu ambao ni muhimu kwenye vita hii, kuchanganyikiwa kwake ndio kunamfanya hasiwe na imani na watu wake wa karibu Serikalini.
Now, back to the main point - kama nilivyo sema hapo mwanzo, taarifa hizi za kudai kwamba jeshi la Ukraine linatumia Superhuman, siju robot kupigana vita, taarifa hizo hazina ukweli wowote zimebuniwa na Serikali ya Ukraine na mashirika ya kijasusi ya Serikali za magharibi ndio wanao sambaza taarifa hizi potofu zenye lengo la kuwatia hofu wanajeshi potential wa Urusi ili waogope kupigana vita, watoroke vitani na kukataa kujiunga na jeshi la Russia, as I said, lengo kuu za taarifa hizi ni to gross misinform public and Russian armed forces by creating fear - actually hizi ni childish tactics za kivita, cha ajabu kuna baadhi ya wanadamu wana hadaahika kirahisi sana,wanafikiri zina ukweli!!
div 0 haiez jificha ,yaan wabunge wa urusi waongee lawama umpe ZeleCaptain america, winter soldier na drugs za serum na compound V kutengeneza supersoldiers.
Hayo mambo yapo kwenye science fiction movies na tv series, naona ukraine na zelenskyy wanaanza kuhalusinate na kuchanganyikiwa sababu ya kipigo takatifu mpaka wanaanza kuwavutisha bangi na kuwachoma madawa jeshi lao kwa lazima ili wasikimbie vita. na kidogo nisahau kuwa zelenskyy ni muigizaji.
Ni propaganda sababu hakuna kitu kama supersoldiers na russia wametumia hii propaganda vizuri kama bait ili kuilaumu ukraine na usa kwa unyanyasaji, ukatili na uvunjifu wa haki za binadamu.
Hiyo ndiyo point ninayoiona hapa.
Vilaza?????????hao wabunge vilaza kweli
Kwani mkuu haiwezekani kutengeneza super human?Captain america, winter soldier na drugs za serum na compound V kutengeneza supersoldiers.
Hayo mambo yapo kwenye science fiction movies na tv series, naona ukraine na zelenskyy wanaanza kuhalusinate na kuchanganyikiwa sababu ya kipigo takatifu mpaka wanaanza kuwavutisha bangi na kuwachoma madawa jeshi lao kwa lazima ili wasikimbie vita. na kidogo nisahau kuwa zelenskyy ni muigizaji.
Ni propaganda sababu hakuna kitu kama supersoldiers na russia wametumia hii propaganda vizuri kama bait ili kuilaumu ukraine na usa kwa unyanyasaji, ukatili na uvunjifu wa haki za binadamu.
Hiyo ndiyo point ninayoiona hapa.
Best, hapa watunga Sera wa Klemlin wana-justfy hoja yao kuwa waale wanajeshi wa Ukraine ni binadamu walioboreshwa kwasabau zifuatazo:Imekaaje hii mbona sielewi chief
Hiyo kitu bado not deployed kirahis hivyo. Hiyo ni excuse ya viongoz wa russia.Kwani mkuu haiwezekani kutengeneza super human?
Kama wanaweza kumodify genes za ng'ombe wa kienyeji na kumfanya awe na maziwa mengi na nyama nyingi (wa kizungu).
Wanashindwaje kumfanya binadamu awe na stamina kubwa na Akili nyingi?