Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaotokana na Umoja wa Vijana wa CCM Zanzibar, walifika katika chuo Cha Umoja wa Vijana Tunguu Kwaajili ya Uvunaji wa mabilinganyi na pilipili Boga Kwa lengo la kuendeleza Siasa na Uchumi Katika Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM.
Aidha, Wabunge na wakilishi hao walipata nafasi ya kuzungumza ambapo; Mhe. Hudhaima Mbarak alisema, "Kwa kweli tumejionea kazi kubwa inayofanywa na Viongozi wetu mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Kwa kweli Maendeleo yao tunayaona katika Kila sekta"
"Sisi wabunge na wakilishi tumeamua Kwa dhati kabisa kuwaunga Mkono Viongozi wetu haya Kwa Kuchangia Ujenzi huu Unaoendelea apa katika chuo chetu Cha Umoja wa Vijana, Kwa kutoa Shilingi Milioni 30 ili Sasa vijana wenzetu wajifunze hapa Itikadi ya historia ya Chama chao pendwa Cha CCM".
Imetolewa na Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi, Afisi kuu UVCCM Zanzibar .
Aidha, Wabunge na wakilishi hao walipata nafasi ya kuzungumza ambapo; Mhe. Hudhaima Mbarak alisema, "Kwa kweli tumejionea kazi kubwa inayofanywa na Viongozi wetu mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Kwa kweli Maendeleo yao tunayaona katika Kila sekta"
"Sisi wabunge na wakilishi tumeamua Kwa dhati kabisa kuwaunga Mkono Viongozi wetu haya Kwa Kuchangia Ujenzi huu Unaoendelea apa katika chuo chetu Cha Umoja wa Vijana, Kwa kutoa Shilingi Milioni 30 ili Sasa vijana wenzetu wajifunze hapa Itikadi ya historia ya Chama chao pendwa Cha CCM".
Imetolewa na Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi, Afisi kuu UVCCM Zanzibar .